Yuko wapi Capt. Sambwee Mwalyego Shitambala?

Yuko wapi Capt. Sambwee Mwalyego Shitambala?

Yupo tena ni maarufu kuliko alipo kuwa kwenye maandamano alikuwa anapoteza hela zake kuendeshea maandamano saizi kiulaini na taaluma yake.

nipo aoa mbeya sjawai mwona hyu mtu wala kumsikia, ingawa na mwanasheria ila nahsi yupo ka,a sero huko kwenye chama cha mihadarati
 
Hahahahahaaaa! Hapo tu ndipo nawakubali ccm. Wakikuzoa tu dampo moja kwa moja na hawana haja tena nawe.
 
Cheo kikubwa? Bado unakumbuka mambo ya chama kushika hatamu?
NEC ya CCM Ina watu wasiyojua kusoma mpaka Leo hii!
You're great bro.Nami nlitaka kumjibu ivyo hivyo.Ujumbe wa CCM NEC ni sawa na ubalozi wa nyumba kumi.
 
Kwani chadema alikuwa na cheo gani? Usaliti wa Slaa kwenda Chadema ni mzuri? Waambie hao wanywa vitoba. Kaka Fred Mushi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom