Yuko wapi Bernard Membe?

Yuko wapi Bernard Membe?

1-Amebadilisha jinsi wanasiasa wanavyopaswa kufanya siasa hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla,Ameondokana na siasa za majukwaani zenye lugha ya ulaghai, propaganda na kutafuta umaarufu,na kuwa Mtendaji zaidi ya mwanasiasa.
Lugha ya ulaghai lkn kwake yeye ulaghai na matusi ruxa
 
Unajua nini wewe kuhusu ukachero?
Kuna mambo yanapangwa ustadi mkubwa
 
Back
Top Bottom