Yuko wapi Benson Kigaila wa CHADEMA?

Yuko wapi Benson Kigaila wa CHADEMA?

Single Ben alijulikana hivyoo miaka ile anafundisha Twisheni A Level maeneo ya Majumba Sita karibu na banana.

Mwambia alikuwa haiingii na notice wa kitabu kika kotu kaweka kichwa, yuko na chaki yake tu alianza kutiririka na masomo.ya Phisics, chemistry na hesabu yaani utapenda mwenyewe.

CHADEMA imebarikiwa kuwa na.watu wanted AKILI nyingi. Benison Kigaioa no mmoja wao.
😀😀😂 Watu Wenye Akili nyingi
 
Kuna na huyu hapa:

View attachment 2769460

Kwamba babaake angali ofisini akiuhudumia umma? Au wote wenu role model ni Mama Abduli na mwanawe?
Enzi za Karume mdogo kama Rais wa Zanzibar,kijana wake wa umri wa miaka kama 14 au 16 alikamatwa na polisi mitaa ya darajani Unguja.Yeye badala ya kusimama na kuitika wito wa polisi akawa anatukana kwa kuwaonyesha kidole cha katikati cha mkono.Walimdaka na kupatia kipigo hasa na kutupia kwenye gari lao.Utata ulianza alipokuwa na anahojiwa kwa ajili ya kuandikisha maelezo.Sijui nini kilitokea mara walipogundua kuwa alikuwa mtoto wa mkuu wa nchi.
 
Enzi za Karume mdogo kama Rais wa Zanzibar,kijana wake wa umri wa miaka kama 14 au 16 alikamatwa na polisi mitaa ya darajani Unguja.Yeye badala ya kusimama na kuitika wito wa polisi akawa anatukana kwa kuwaonyesha kidole cha katikati cha mkono.Walimdaka na kupatia kipigo hasa na kutupia kwenye gari lao.Utata ulianza alipokuwa na anahojiwa kwa ajili ya kuandikisha maelezo.Sijui nini kilitokea mara walipogundua kuwa alikuwa mtoto wa mkuu wa nchi.

Katiba ya kufaa ndiyo muarobaini pekee. Hayupo aliye juu ya sheria.

Walimu waliokuwa wakiwafukuza shule au kuwaadhibu vikali watoto wa Nyerere walikuwa wakipandishwa vyeo.

Tutofautishe nia njema ya viongozi bora na katiba iliyopo dhidi wengine ndani ya katiba hii.
 
Huyu Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA upande wa Tanganyika mh Benson Kigaila hajasikika akimwaga cheche kama alivyozoeleka kwa muda mrefu

Yuko wapi huyu Mwamba?
nguvu ya asali katika kulainisha sauti za ngurumo zenye scratch na bezi dhidi ya serikali inafanya kazi vizuri...
 
Mkewe kuwa mmoja wa wale wabunge wa Yobo kusingeweza kumwacha na bashasha lake lile lile siku zote kwenye ukombozi hata kama angekuwa na moyo wa jiwe.

Familia nazo hukwaza .. ndiyo maana Mama Abduli hatumwelewi elewi!
wanasema abduli ni mwekezaji mzuri wa nishati kule uganda
 
Huyo ni mwana wa kiongozi wetu mkuu anayesimamia bora utawala
Kumbe ndiyo maana hao polisi wamekuwa waungwana japo analeta jeuri utadhani siyo polisi wa Tanzania! Ingekuwa ni mwananchi wa kawaida angeshushiwa kipigo kikali kweli kweli.
 
Huyu Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA upande wa Tanganyika mh Benson Kigaila hajasikika akimwaga cheche kama alivyozoeleka kwa muda mrefu

Yuko wapi huyu Mwamba?
Jee mwenyekiti wenu amewaaga ? Achana na Chadema mkuu
JamiiForums1096527997.jpg
 
Back
Top Bottom