Wana jf! Napenda kujua nione wapi alipo waziri mkuu wa Tanzania mheshimiwa peter pinda. Tusilaumu kila siku shuguli za serikali hazitekelezeki huku anaetakiwa kuzishugulikia hayupo! Yupo wapi na anafanya nini?
Huyu Mkuu mara ya mwisho nilisikia yuko Brazil anatafuta Technology ya kuzalisha umeme wa kudumu haijulikani alisha rudi au bado
Ila sijawai sikia aliko Makamu wa Rais hata speech zake sijazikia, yupo nchini au naye yupo ughaibuni
Huyu Mkuu mara ya mwisho nilisikia yuko Brazil anatafuta Technology ya kuzalisha umeme wa kudumu haijulikani alisha rudi au bado
Ila sijawai sikia aliko Makamu wa Rais hata speech zake sijazikia, yupo nchini au naye yupo ughaibuni
Wasaidizi wa kazi tulionao ndiyo hawa hawa hatuna sample nyingineDu sasa hii kali! kumbe tusimlaumu jay kei maana hana wasaidizi wa kazi.
Mara ya mwisho Waziri Mkuu alionekana akiwa Marekani, Jimbo la Aiwo kama sikosei alipokwenda kuweka sahihi ya mkataba wa kuwauzia Wamarekani kipande cha ardhi mkoa wa Katavi. Makamu wa Rais alionekana akiwa Msumbiji pamoja na mmojwapo ya wake zake walipokwenda kushiriki kumbukumbu ya Komredi Samora. Kituko katika shughuli hizo ni pale Memsapu wa VP alipojipenyeza katikati ya mstari wa mbele wa Marais/makamu wa marais waliofika kushiriki kumbukumbu hiyo wakati wake/waume wengine wa wakuu hao walisimama nyuma za wenzi wao. Bongo ina vituko kweli kweli!!!