kwa mpango huu ndipo wataonekana wanaofaa kugomea urais mwaka 2015 kutoka ndani ya CCM. Nina hakika kabisa kuwa Mheshimiwa Edward Lowasa atakuwa wa kwanza kusaini kwa wabunge chama chake kudhihrisha kuwa yeye si FISADI bali ni serikali yake tu. wengine ni Akina Sita, Mwakyembe na wengine kudhihirisha kuwa wao ni wazalendo halisi na wana uchungu na nchi hii. unajua siku zote huwa njia ya mwongo ni fupi.