Yu wapi Sitta?

Kuna uzushi ulitembea hapa kwamba Sitta amejiuzulu hili likoje?
 
afadhali mmeichomoa faster ile thread, yule jamaa aliyeanzisha kama breaking news ale ban
 
 
Sitta hasipo sign ina maana ana chuki binafsi na Lowassa si kwamba anachukia ufisadi. Huu ni mtihani mkubwa sana kwake kwani kama waziri hawezi kupinga serikali yake. The only way ni kujivua gamba
 
:A S 41: Sita ni mpambanaji sana pamoja na Sita "B" ila ni mtu wa mahesbau sana...... amesurvive imagine awamu nne za viranja wakuu.
 
Kaka naona mmeitoa ile thread ya ''kizushi''........JF integrity first!

Ila mbona mmenitolea u-expert katika membership without any because?lol

mkuu SAFARI NI SAWARI na mimi nimenyang'anywa U_ expert ndugu yangu na hii nadhani ni sie 2liomkosoa Le mutuz? Ama tatizo ni cdm.NATAKA Nijivue humu niende Mjengwa maana hata thrid zangu KTK ID HII HAZIKAI.
 
KIMYA KINGI KINA MSHINDO MKUU.

Yu wapi mzee wa viwango? kwa nini hajasaini?
 
Sitta hawezi kusign hii yeye ni waziri, labda aachie uwaziri kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…