Mzee Sitta yupo Nairobi kikazi[/QUOTE
Mkuu Invisible, sifurahii mtu kupewa ban lakini member alieleta uzushi wa Mh Sita kujiuzulu ubunge anastahili ban, labda iwe confirmed!
naunga mkono hoja. Huyu jamaa aliyezusha, afungiwe maisha kabisa. kawadanganya watanzania. niliamua kuwatafuta SIBUKA, kwa bahati mbaya namba za simu walizoweka, ni za mafundi sio za studio. hivyo nilivyopiga sikupata chochote. namba ya fx nimepiga hikupokelewa, sina elimu kama fax unaweza kuitumia kupiga. namba hiyo ni
+255 22 2772847.
afutwe JF