Mshikawezi Mwizi
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 751
- 375
baba mkwe kamwambia atulie kwanza hadi kazi ya kupita misikitini na makanisani izae matunda mema.
Hujakosea kabisa ndio maana wengi wakishindwa maisha ndio wanakimbilia siasa au wakikosa la kufanya wanashinda kwenye ofisi za vyama kupeleka majungu tu......fanyeni kazi siasa ziwe sehemu tu ya maisha
Mkuu sio lazima uchangie thread, matusi, mapovu, jazba na kejeli havitakiwi.
makalioni kwako. nafanya timing......
....hebu tupeni kwa undani anachofanya kwa sasa
Huyu sioi amefia wapi?
Sioi yupo, anaapply ile methali isemayo: Mwenda pole.....
Sioi yupo, anaapply ile methali isemayo: Mwenda pole.....
huyu lau masha yeye vipi, baba riz bado hajampa shavu tu?