Atakuwa ameolewa tu. Yeye si alisema SIOI na akatoboa na sikio..!? unatarajia nini!? ila hili swali ungemuuliza Lusinde ungekoga mitusi hadi unuke
Kwa niaba ya J. nassary,Yule aliyetoboa sikio?
Ngoja tumwombe J Nassari aje kukujibu
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ndugu wana jf, kumekuwa na tabia kwa baadhi ya wanasiasa wa vyama mbalimbali hapa nchini kuwa na tabia ya kuonekana uchaguzi unapokaribia...ndio utawaona majukwaani wakitokwa na povu kwa kuomba wananchi kura, pia katika kipindi hicho utawaona wakiwa mstari wa mbele katika shughuli mbali mbali za chama...huku wakijifanya wana huruma na uchungu wa nchi.sasa leo wana jamvi huyu sioi sumari baada ya uchaguzi wa arumeru mashariki kumalizika hajasikika tena, wala kuonekana katika shughuli mbali mbali za chama chake (ccm) je yuko wapi? Mbona hashirikiani na wana ccm wenzake? Na anafanya nini kwa sasa Mwenye habari zake tafadhali atujuze.Mods tafadhali usiutoe huu uzi ni X3 sasa naweka huu uzi unautoa why? PIA WANA JAMVI HASIRA AU JAZBA HAZIRUHUSIWI, MATUSI NA MSITOKWE NA POVU PIA...MTULIE DAWA IWAINGIE VIZURI. Nawakilisha!
Kwani Condom ikishatumika ina kazi gani?
Uzi huu unathibutisha tu mawazo ya vijana wengi ambao wanafikiri siasa ni ajira. Matokeo yake tunapata professional politicians ambao hakuna wanalolijua au kuweza nje ya siasa.
Mtu mwenye shule yake akishindwa kwenye uchaguzi hurudi kuendelea na kazi zake zingine.
Huyu dogo anafaidi matunda ya kusoma kwake, nyie mnahangaika kumwulizia hapa JF.
Ukiwa na options nyingi kwenye maisha wala huhangaiki. Uchaguzi umeisha na wacha aliyeshinda afanye kazi zake na wengine warudi kwenye shughuli zao zingine. Lakini wale walioweka mayai yote kwenye kikapu kimoja, ndio muda wote inabidi wang'ang'anie na jambo moja.
Mwacheni Sioi achakarike na kazi yake ya benki. Kama bado anataka siasa mwaka 2015 mtamwona.
Nenda kumuulize lowassa huko makanisani au Misikitini wakati anawakilisha michango ya marafiki zake
yupo kwa wenye tabaka kama lake akila bata. na kukusanya fungu la harambee.Bandugu, huyu mshikaji yupo wapi? au ndio byebye, kama jack masamaki anavyokwisha sasa ( magamba noma)
Kwani Condom ikishatumika ina kazi gani?[/QUOTE]
Blasphemy! Fafanua: ilitumika kuwa....naniii kina nani?
maswali ya kipumbavu kabisa
kwani wewe mmeo yuko wapi??