We Know Next
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 814
- 380
Wana Jamvi, suala la muswada wa katiba, limefika patamu, kwa pumba kujulikana pumba na mchele kujulikana mchele. Nakumbuka kabla ya hoja hii kufikishwa Bungeni Prof. Paramagamba Kabudi, alipelekwa pale dodoma kuwapiga msasa wabunge kuhusu hili hasa akiwa na mlengo wa Ki CCM zaidi. sasa mambo yameback fire, nina hamu ya kumsikia atasema nini kwa hili sasa. Kabudi funguka tukusikie..... maana umeshikwa uchawi...