Wadau wa JF naomba msaada wenu, nahitaji kuonana na Profesa Mbwiliza aliyewahi kuwa Mkuu wa chuo cha CCM Kivukoni walipokuwa wananolewa makada wa CCM enzi zile za Mwalimu Nyerere.
Nafanya utafiti juu ya kuporomoka kwa vyama vya siasa vilivyowaunganisha waafrika kudai ukombozi.
Mwenye namba yake anisaidie.
Ninachojua tu ni kuwa licha ya kutumikia Wizara moja na JK akiwa naibu wake alikataa kumudhamini wakati JK akitafuta wadhamini ili apate ridhaa ya kupeperusha bendera ya CCM mwaka 2005. Na aliamua kumdhamini msomi mwenzake Salim A. Salim ambaye kura hazikutosha. Kipindi hicho Prof. Mbwiliza alikuwa mjumbe wa NEC akiwakilisha mkoa wa Kigoma.
Naomba namba yake tafadhali.
Nafanya utafiti juu ya kuporomoka kwa vyama vya siasa vilivyowaunganisha waafrika kudai ukombozi.
Mwenye namba yake anisaidie.
Ninachojua tu ni kuwa licha ya kutumikia Wizara moja na JK akiwa naibu wake alikataa kumudhamini wakati JK akitafuta wadhamini ili apate ridhaa ya kupeperusha bendera ya CCM mwaka 2005. Na aliamua kumdhamini msomi mwenzake Salim A. Salim ambaye kura hazikutosha. Kipindi hicho Prof. Mbwiliza alikuwa mjumbe wa NEC akiwakilisha mkoa wa Kigoma.
Naomba namba yake tafadhali.