Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Wapi abdallah kigoda..huyu nae hasikiki tena tangia autake urais
Shirikisha ubongo
Wapi abdallah kigoda..huyu nae hasikiki tena tangia autake urais
Huyo mzee alikuwa Profesa au Laprofeseri?
Prof. Mbwiliza sasa hivi anaishi wilaya ya Kasulu kijiji cha Nyumbigwa , ukitaka kumpata nenda Kasulu siku hiyo hiyo ukimwuliza utapelekwa nyumbani kwake siyo mbali na mji.
msaada wakuu jinsi ya kuanzisha uzi mpya na namna ya kuupost,kila nikisaka sehemu itakayo niwezesha kuandika thread nachemka wakuu plz.:sad: