Yu wapi nguli huyu wa Sheria Method Kimomogoro?

Yu wapi nguli huyu wa Sheria Method Kimomogoro?

Idimulwa

Platinum Member
Joined
May 27, 2011
Posts
6,008
Reaction score
4,656
JF, Mtandao Pevu

Heshima Kwenu;

Yu Wapi Nguli huyu Wa Sheria?

Kesi Ya Godbless Lema,kupinga Matokeo ya Ushindi wake wa Ubunge 2010,Jimbo la Arusha Mjini, aliacha kila kitu kuhusu Taaluma Yake Mahakamani Pia,kama KIBATARA[Alivyonena Mahakamani-04.03 2022,juu ya Kesi Ya Ugaidi Ya MBOWE na Wenzake Wa TATU]. Mteja Wake Akashinda kesi.

Sijamsikia tokea hapo WAKILI huyu.

Nilitarajia atakuwepo kwenye hii kesi ya Ugaidi iliyofutwa ikiwahusu Freema A. Mbowe na wenzake,makomandoo watatu.

Anajulikana alipo au hajulikani?

Nawasilisha, Wadau nisafisheni macho. Kitambo mno jina hili silisikii kwenye tasnia ya Sheria.
 
Andika vizuri basi duuh

Kama hapa unaandika hivi je kwenye karatasi si balaaa tupu
 
Andika vizuri basi duuh

Kama hapa unaandika hivi je kwenye karatasi si balaaa tupu
Muongozo wa Kina,Mkuu toka Kwako,naomba.Nirekebishe wapi ili niwasilishe upya bandiko..

Shukrani Sana.
 
Back
Top Bottom