Sometimes Muache Umbea bhana..hii ni maisha binafsi ya mtu...uwepo wake au kutokuwepo kwake hakukupi manufaa yoyoteNi takribani wiki moja tangu Rais Magufuli atue Chato kwa mapumziko. Katika kipindi hiko hatujamuona mama Janeth. Rais Kenyatta ameenda Chato, mama Janeth hajaonekana. Leo tumezindua mbuga, mama Janeth hajaonekana. Je mama Janeth ni yu wapi?
Huyo ni first lady asee au hujui maana na umuhimu wake??. kama uzinduzi wa wasafi TV Diamond alikuwa na Tanasha ijekuwa kwa first lady kuhudhulia tuko muhimu tena wakiwa mapumziko???Sometimes Muache Umbea bhana..hii ni maisha binafsi ya mtu...uwepo wake au kutokuwepo kwake hakukupi manufaa yoyote
Kuvalishwa dela inakuhusu kwa umbea huu. Tumbafu.Ni takribani wiki moja tangu Rais Magufuli atue Chato kwa mapumziko. Katika kipindi hiko hatujamuona mama Janeth. Rais Kenyatta ameenda Chato, mama Janeth hajaonekana. Leo tumezindua mbuga, mama Janeth hajaonekana. Je mama Janeth ni yu wapi?
Mama Nyerere kwanzaFirst lady bora kabisa kuwahi kutokea
Makinika...Kwani hujui Mila za wasukuma? URAIS NI WA MAGUFULI SI WA MAMA JANETH,
Hapana ni vema kujua public figures zilipo! isijekuwa kate@kwa nchi ipo kimya?Sometimes Muache Umbea bhana..hii ni maisha binafsi ya mtu...uwepo wake au kutokuwepo kwake hakukupi manufaa yoyote
Yule ni first lady mku raia wana haki ya kujua yuko wapi na kwa nini aonekani,au unataka tuongozwe na raisi muhuni asie na mke (kama labda wametengana) lazima tujue.Sometimes Muache Umbea bhana..hii ni maisha binafsi ya mtu...uwepo wake au kutokuwepo kwake hakukupi manufaa yoyote