mwakajingatky
JF-Expert Member
- May 30, 2018
- 558
- 927
Nilimwona kwa maombi kwa TB Joshua alipokuwa Israel. Mama piga maombi taifa lipone mama yetu. Haya mengine mbwembwe tu
nilimuona pia...
Nilimwona kwa maombi kwa TB Joshua alipokuwa Israel. Mama piga maombi taifa lipone mama yetu. Haya mengine mbwembwe tu
Haujui kuwa shule ndiyokwanza zimefungua! Nenda darasani kwake utamkuta.Ni takribani wiki moja tangu Rais Magufuli atue Chato kwa mapumziko. Katika kipindi hiko hatujamuona mama Janeth. Rais Kenyatta ameenda Chato, mama Janeth hajaonekana. Leo tumezindua mbuga, mama Janeth hajaonekana. Je mama Janeth ni yu wapi?