Yu wapi Lazaro Nyalandu?

Black hermit

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2017
Posts
658
Reaction score
955
Tangu huyu bwana atangaze kujiengua chama cha kijani na kujivua ubunge sijamsikia tena na wala sijaona mchakato wowote wa kupata mrithi wake jimbonu kwakwe, mwenye taarifa rasmi na jinsi mchakato unavyoendelea anijuze tafadhali.
 
Unamtakia nini? Wacha kuwashwa washwa.
 
Mtoto wa mjini yule! Atakua yupo kwa Trump
 
Wewe ni Jinsi gani? Ke au Me; kama vipi kamuulize mke wake
 
Tangu huyu bwana atangaze kujiengua chama cha kijani na kujivua ubunge sijamsikia tena na wala sijaona mchakato wowote wa kupata mrithi wake jimbonu kwakwe, mwenye taarifa rasmi na jinsi mchakato unavyoendelea anijuze tafadhali.

Taarifa rasmi ni kuwa Nyarandu mmoja ni sawa na wabunge watatu na madiwani 70
 
Ana kula mema ya Nchi hana njaa kama wale wenzake wametokea mlangoni na wakaingilia Dirishani
 
Tangu huyu bwana atangaze kujiengua chama cha kijani na kujivua ubunge sijamsikia tena na wala sijaona mchakato wowote wa kupata mrithi wake jimbonu kwakwe, mwenye taarifa rasmi na jinsi mchakato unavyoendelea anijuze tafadhali.
Kwani wewe ukowapi?
 
Tangu huyu bwana atangaze kujiengua chama cha kijani na kujivua ubunge sijamsikia tena na wala sijaona mchakato wowote wa kupata mrithi wake jimbonu kwakwe, mwenye taarifa rasmi na jinsi mchakato unavyoendelea anijuze tafadhali.
Amerudi kwao Marekani na mrithi wake alishapatikana kitambo!
 
Jimboni kwake uchaguzi ulishafanyika siku nyingii ccm wale wale
 
Tangu huyu bwana atangaze kujiengua chama cha kijani na kujivua ubunge sijamsikia tena na wala sijaona mchakato wowote wa kupata mrithi wake jimbonu kwakwe, mwenye taarifa rasmi na jinsi mchakato unavyoendelea anijuze tafadhali.
Jiulize wako wapi waliosema wanataka kumfungulia kesi Nyalandu?
 
Madume ya mbegu huwa yanaonekana wakati majike yana genye tuu.
 
Tangu huyu bwana atangaze kujiengua chama cha kijani na kujivua ubunge sijamsikia tena na wala sijaona mchakato wowote wa kupata mrithi wake jimbonu kwakwe, mwenye taarifa rasmi na jinsi mchakato unavyoendelea anijuze tafadhali.
Anajiandaa kugombea urais maana inasemekana ngoyai kachoka
 
Anakula Penshen ya Wanyama hai waliokuwa wanasafirishwa UAE, America, Europe, Figisu za Ugawaji wa Vitaru nk nk
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…