Yu wapi IGP Mangu?

YUKO KWAO ANALIMA ALIZETI
 
Tuition mkuu
Ha ha ha haaaaaa,, ndo mnakitowaga kwa Ras Simba au kwa Muchunguzi open school au kwa Kivuli cha Mvumo open school hapa Morogoro? Sawa mkuu utakielewa tu usife moyo,, si unaona kuna jamaa mpaka anaogopa kutoka kwenye fence ya nyumba yake shauri ya Ki-English?!! Ila siku nyingine badala ya now days useme tu "nowadays".
 
Sawa mtaalamu wa lugha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…