Ha ha ha haaaaaa,, ndo mnakitowaga kwa Ras Simba au kwa Muchunguzi open school au kwa Kivuli cha Mvumo open school hapa Morogoro? Sawa mkuu utakielewa tu usife moyo,, si unaona kuna jamaa mpaka anaogopa kutoka kwenye fence ya nyumba yake shauri ya Ki-English?!! Ila siku nyingine badala ya now days useme tu "nowadays".