Yu wapi Dr. Azaveli Lwaitama?

PowerWithin

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2014
Posts
645
Reaction score
501
Nimemis nondo zake sana. Alipaswa kuwa Professor sijui nini kilitokea.

Prof Shivji naye alikuwa anatufundisha vizuri sana kuhusu katiba mpya ghafla kauvyata.
 
Wasomi wetu na wataalamu wetu wanapotezwa kwa kitu kinachoitwa pesa ili kuwafunga midomo ya ukosoaji
Ndio maana wanapewa vyeo na kufunga midomo jumla!! Wasomi wanatakiwa ushauri wao utumike na weledi wao uwe njia ya mafanikio ikiwa ni kuendesha mijadala na kutoa maoni!
Leo wanapewa nyadhifa ambazo zinawashinda maana si wajibu wao
 
Ahsante umenikumbusha mwalimu wangu wa critical thinking and argumentation aisee yule mzee ni hatari, hayo matusi kwa nguli Shivji yakurudie
 
Wamemkubali jembe Magufuri sasa waongee nini , wanaona kazi inafanyika lands waje kusifia hapo nyumbu mtavuka mto Mara na kutimkia Kenya
Watu wenye akili hawakimbizani na kichaa
 
Mwanazuoni Prof. Issa Shivji anaongea kizuoni, kwa akili ya akina bashite hata akikosoa watasema amewasifia.
 
Leo yupo kwenye mdahalo wa swala la muungano , mubashara unarushwa na itv.
Pia anafundisha SAUT ,na anafanya vipindi mbalimbali vya radio kuelimisha jamii ya ktz
 
Dr.Exzavel Rwaitama hupo hapa Tumaini University tawi la Bukoba Nyakato.Mara nyingi tunashiriki nae kwenye kipindi cha Pole na Kazi redio Vision FM mkuu
 
Wamemkubali jembe Magufuri sasa waongee nini , wanaona kazi inafanyika lands waje kusifia hapo nyumbu mtavuka mto Mara na kutimkia Kenya
Labda wewe na ukoo wako wa lumumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…