Ndio maana wanapewa vyeo na kufunga midomo jumla!! Wasomi wanatakiwa ushauri wao utumike na weledi wao uwe njia ya mafanikio ikiwa ni kuendesha mijadala na kutoa maoni!
Leo wanapewa nyadhifa ambazo zinawashinda maana si wajibu wao
Leo yupo kwenye mdahalo wa swala la muungano , mubashara unarushwa na itv.
Pia anafundisha SAUT ,na anafanya vipindi mbalimbali vya radio kuelimisha jamii ya ktz
Dr.Exzavel Rwaitama hupo hapa Tumaini University tawi la Bukoba Nyakato.Mara nyingi tunashiriki nae kwenye kipindi cha Pole na Kazi redio Vision FM mkuu