asalaam mimi ni pc elctrition natengeneza computer yoyote ubovu wowote bei zangu ni nafuu
kama maneno yamepinda,kazi itanyooka kweli..!!mmnh, haya bana tumekusikia.
kama maneno yamepinda,kazi itanyooka kweli..!!
vifaa vingine vya Electronics kama tv unatengeneza?halafu tungepata na cv ya kampuni ingekuwa bomba sana.Maana nyie mafundi hamuaminiki.Nasikia fundi kinyozi pekee ndio mwaminifu katika aina zote za mafundi.
absolutely right mkuu!!, sema tu kinyozi ubaya wake labda atakukosea kidogo kukunyoa, lakini inaaminika kwamba kinyozi akikosea basi hiyo ni Style mpya au mtindo mpya!! hahaaaa ahahaaa
hahahahaaaaaaaaaa.kweli kabisa,na utapata watu kibao wa kukuiga hiyo 'style' mpya.
hakuna fundi waongo kama SEREMALA na Fundi NGUO, mamamaaaaa njoo kesho nyiiiiiiiiiiiiingi, duh.
Sema fundi wote ,hao fundi nguo ni balaa wa kuleta zogo kwenye ndoa za watu,Zile tape measure sehemu nyeti kwa kweli wanaume wengi huwa hawawezi kuvumilia.Wanapima sana maumbo ya watu.
Weka CV watu wajue umesoma hadi level gani ili waondoe doubt, kwani umeshajijengea mazingira ya kutiliwa shaka kutokana na maandishi yako.asalaam mimi ni pc elctrition natengeneza computer yoyote ubovu wowote bei zangu ni nafuu
Mzee unakumbuka kuichangia JF kwa pesa hata kidogo? maana umeweka tangazo lako hapo, sijapitia listi ya waliochangia ila maamini upo katika wale wenye moyo wa kuendeleza JF.asalaam mimi ni pc elctrition natengeneza computer yoyote ubovu wowote bei zangu ni nafuu
absolutely right mkuu!!, sema tu kinyozi ubaya wake labda atakukosea kidogo kukunyoa, lakini inaaminika kwamba kinyozi akikosea basi hiyo ni Style mpya au mtindo mpya!! hahaaaa ahahaaa
kinyozi unamwona mwaminifu kwa sababu umwachii kichwa, lakini na yeye ukimkabidhi kichwa uje kesho yake yangekuwa yaleyale
Upo mkoa gani hebu weka cm no yako