Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,802
- 43,203
DISCLAIMER: "TO SET THE RECORD STRAIGHT, Nyani Ngabu IS NOT MY DADII..."
Mahabuba Dadii.....
Dadii, kwa kila nifanyalo, unanijia mawazoni na akilini mwangu....
Wajua nimetingwa na majukumu ya mkaburu, lakini siwezi kosa wasaa wa kusema neno juu yako.
Vile nabubujikwa na Mahaba yako kila nisemeshanapo nawe, kila nikuwazapo, kila nipatapo cheko kutoka kwako.... nazidi kujiona binti kumbeeeee hehehehhehee saa sita usiku.
Kuna nyimbo hizi mbili wameimba kundi la zamani miaka ya 90 kama sijakosea, ni vijana wadogo ambao walikonga mioyo kwa kipindi kile. Najua nimekuletea kumbukumbu nyingi kwa kukuimbia hizi nyimbo, natumai ni kumbukumbu nzuri. Ni kitambo sana sijazisikia hizi nyimbo, ila wakati nasemeshana nawe hizi nyimbo zikanijia kichwani, nikatabasamu basi Mahaba yakajaa upya....
Dadii kuna muda huwa najiuliza, hivi naweza kukuchukia kweli.... kwanini nakupenda hivii... kwanini umenijaa moyoni hivii.... kwanini nimewafungia vioo wanaume kibao humu JF na huko nje sababu yako.....
Najua sababu ni nyingi usiziseme hapa, ila ukiwa unaoga zitaje moja baada ya nyingine, huku unaniita Kasiiiiiieeee... ahahhahahahaaaa I know am making you looking like .... (unakakumbuka kale katoto kanakoimba.... I love you like a lost soul baby.... this is what am referring to...)
I love you like a lost soul baby.... am singing for you....
Every Little Thing I Do You're On My Mind The Way I Feel Lately, It's Driving Me Crazy
Every Little Thing I Do You're On My Mind I Can't Get Over You, I Think About You All The Time (this is naked true and I use to tell you every now and when)
Can't You See What You Do To Me I Think About You All The Time
My Mind Is Hazy And I'm Mixed Up Feeling Crazy Over You Let's Not Waste Anytime
Round And Round I Go, Where I'll Stop Only You Know I Guess It's All In My Mind
Take Your Time Think It Over Let Me Know What You Wanna Do, Baby It's So Good
My love (Dadii), do you ever dream of Candy coated raindrops?
You're the same, my candy rain (........I love to lick it...)
Have you ever loved someone So much you thought you'd die?
Giving so much of yourself It seems the only way
Tell me what you want and I And I will give it to you
'Cause you are.........
My love, did you ever dream That it could be so right?
I never thought that I would find (you Dadii), (You are)All that I need in life
All I want, all I need now, I know I know I found it in you, I found it in you
'Cause you are........
Dadii, wajua vile napenda kucheza mziki, naomba likizo ijayo tucheze dance la hizi nyimbo, hizo break dance zao hivohivo hivyo anza mazoezi mapemaaaa hehehehehheheee.
I laaab yuuuuu Dadiii, mmuuahh!!!
Kasie Mahaba Matata Dadii Kitoko.
Mahabuba Dadii.....
Dadii, kwa kila nifanyalo, unanijia mawazoni na akilini mwangu....
Wajua nimetingwa na majukumu ya mkaburu, lakini siwezi kosa wasaa wa kusema neno juu yako.
Vile nabubujikwa na Mahaba yako kila nisemeshanapo nawe, kila nikuwazapo, kila nipatapo cheko kutoka kwako.... nazidi kujiona binti kumbeeeee hehehehhehee saa sita usiku.
Kuna nyimbo hizi mbili wameimba kundi la zamani miaka ya 90 kama sijakosea, ni vijana wadogo ambao walikonga mioyo kwa kipindi kile. Najua nimekuletea kumbukumbu nyingi kwa kukuimbia hizi nyimbo, natumai ni kumbukumbu nzuri. Ni kitambo sana sijazisikia hizi nyimbo, ila wakati nasemeshana nawe hizi nyimbo zikanijia kichwani, nikatabasamu basi Mahaba yakajaa upya....
Dadii kuna muda huwa najiuliza, hivi naweza kukuchukia kweli.... kwanini nakupenda hivii... kwanini umenijaa moyoni hivii.... kwanini nimewafungia vioo wanaume kibao humu JF na huko nje sababu yako.....
Najua sababu ni nyingi usiziseme hapa, ila ukiwa unaoga zitaje moja baada ya nyingine, huku unaniita Kasiiiiiieeee... ahahhahahahaaaa I know am making you looking like .... (unakakumbuka kale katoto kanakoimba.... I love you like a lost soul baby.... this is what am referring to...)
I love you like a lost soul baby.... am singing for you....
Every Little Thing I Do You're On My Mind The Way I Feel Lately, It's Driving Me Crazy
Every Little Thing I Do You're On My Mind I Can't Get Over You, I Think About You All The Time (this is naked true and I use to tell you every now and when)
Can't You See What You Do To Me I Think About You All The Time
My Mind Is Hazy And I'm Mixed Up Feeling Crazy Over You Let's Not Waste Anytime
Round And Round I Go, Where I'll Stop Only You Know I Guess It's All In My Mind
Take Your Time Think It Over Let Me Know What You Wanna Do, Baby It's So Good
My love (Dadii), do you ever dream of Candy coated raindrops?
You're the same, my candy rain (........I love to lick it...)
Have you ever loved someone So much you thought you'd die?
Giving so much of yourself It seems the only way
Tell me what you want and I And I will give it to you
'Cause you are.........
My love, did you ever dream That it could be so right?
I never thought that I would find (you Dadii), (You are)All that I need in life
All I want, all I need now, I know I know I found it in you, I found it in you
'Cause you are........
Dadii, wajua vile napenda kucheza mziki, naomba likizo ijayo tucheze dance la hizi nyimbo, hizo break dance zao hivohivo hivyo anza mazoezi mapemaaaa hehehehehheheee.
I laaab yuuuuu Dadiii, mmuuahh!!!
Kasie Mahaba Matata Dadii Kitoko.


