Young Killer anamaanisha nini?

Young Killer anamaanisha nini?

B.kuchaga

Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
8
Reaction score
1
Ana ngoma inaitwa 'Umebadilika' amemshirikisha banana zoro, lakini jana nimesikia ngoma nyingine inaitwa '13' alowashirikisha fid q na belle9.

Kama kweli hii ngoma ni mpya, mbona interval baina ya ngoma moja na nyingine ni ndogo?

au hii ina maana gani kibiashara? Najua wapo wenye ujuz wa haya mambo, wanijuze tafadhali?
 
Biashara ya muziki ikibuma shabiki haumdai, anagoma kuinga kaburin huyoi awe mpole tu mbona wenzake kina dogo janja nik mbish country boy na sterio wametulia ndani ya kaburi
 
ngoma kali ya kusindikiza 2014 imefanyika bongo records chini ya maproduza kadhaa huku vocal na mixing ikifanywa na dream big a.k.a majani na beat imesukwa na vichwa vitatu,,, palla midundo, amiga tyga na lollipop
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom