Young D ni maskini sana kwa sababu hizi

Muziki bongo kiukweli haulipi jiulize wewe mwenyewe umenunua kazi ya msanii link Mara ya mwisho!!?....kwa hiyo wanategemea show sasa anapata show ngapi kwa mwezi!?.....fiesta yenyewe wakipata watu 10000 ndo wanapata million 10 sasa kwa lundo LA wasanii unadhani watawagawia sh ngapi!?...na hapo kiingilio kiwe 10000!
 
Muziki bongo kiukweli haulipi jiulize wewe mwenyewe umenunua kazi ya msanii link Mara ya mwisho!!?....kwa hiyo wanategemea show sasa anapata show ngapi kwa mwezi!?.....fiesta yenyewe wakipata watu 10000 ndo wanapata million 10 sasa kwa lundo LA wasanii unadhani watawagawia sh ngapi!?...na hapo kiingilio kiwe 10000!
Milioni 100
 
We kaache na ujnga wake ukikaambia ukweli utaskia ooh "bongo bahati mbaya"
 
Msanii Young Dar es salaam mbali na kipaji kikubwa cha muziki alichonacho lakini suala la kutokujielewa ni kizuizi kikubwa cha maendeleo yake.

Wajanja wengi wanatumia mgongo wa young D kupiga pesa huku yeye mwenyewe akibaki kapuku miaka nenda rudi.

Kinachofanyika ni hivi, wajanja wanachofanya wanampigisha pamba kali pamoja na kumgharamikia mambo yote ya starehe lakini nyuma ya pazia pesa wanazotumia kumgharamikia ni zile zile zake kwa kupitia muziki wake na show anazozifanya bila ya yeye mwenyewe kujua.

Imefika pahala siku hizi young D si ajabu akakuomba umuungie hata mia mbili ya sigara jinsi maisha yalivyompiga.

Mbali na Young D wasanii wengi wanapitia kasumba hii ya kunyonywa mfano kundi kama Yamoto band enzi hizo walikuwa wanaingiza pesa chafu kwenye show lakini wao binafsi wanaambulia kupewa laki moja moja na kupigishwa pamba pamoja kugharamikiwa starehe zozote wanazohitaji huku kiasi kikubwa cha pesa kikibaki mfukoni kwa mkubwa fella.

Madogo walikaa kimya mwisho wa siku wakaamua kuhoji maslahi yao lakini Fela alivyomjanja akawaambia pesa zao anawajengea nyumba ,lakini mbaya zaidi nyumba yenyewe ilijengwa moja tu na wote wakatupwa humo kitu ambacho hakikuwa makubaliano yao.

Ifike pahala wasanii waamke bila hivyo wajanja wachache watazidi kuneemeka kwa migongo yao huku wao wenyewe wakibaki kuwa masikini.

Walijaribu kumuingia Diamond Platnumz kwa ujanja huo lakini ndio hivyo Diamond mjanja sana haibiwi kirahisi rahisi bila hivyo na yeye angekuwa ameshapotea zamani sana.
Unamjua young dee au unamuota tuulize cc
 
Huyo Dogo janja angerud shule tu , maana akili ya kufanya mziki biashara Hana , atasihia kutumiwa mpaka azeeke, bora alivyokua kwa Max kidogo angefika mbali , maana jamaa anajielewa na ni msomi, sasa Dogo janja kamuona max mshamba wakat yeye ndo mshamba, anabak ku show off tu instagram wakat maisha hana
 
Kwa sababu hata wanaoangalia hizo maigizo akili zao ni ndogo na ndio mana hata watengenezaji akili zao zinakuwa ni ndogo zaidi.

Wabongo wanapenda ujinga ujinga tu na mambo ya kipuuzi ndio mana wanadumisha ujinga na upuuzi wao kila kukicha mkuu.

Kwa hiyo wataendelea kupata mapato duni kila siku kutokana na ubora na kiwango duni cha kazi zao ambazo hata nchi jirani nyingi hazitambuliki.

Umeongea point muhimu sana kaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom