Chukua like πJamaa usiingilie taaluma usizozifahamu, hauwezi kubadili damu kutoka group O ukawa group A, endelea na ushabiki tu, hiyo mifano unayojaribu kutumia haihusiani
Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
kuna kitu kinaonekana sio poa kwa waliokuwa wanashikilia hayo majukumu tutajua kukikuchaMimi hainiumi yanga kumpa kazi manara isipokuwa kuna yanga wangapi Tanzania nzima wenye sifa zaidi ya yale matapishi ya simba na je vipi kuhusu bumbuli yanga kindakindaki kwani ye hatoshi na nugaz je
Muda utaongea,,,,
It's a free country ndugu!Ungekaa kimya ingekuwa poa zaidi
It's a free country ndugu!
Nimeiona bana jezi yenye shade za watuwatu zilivyo mbaya",jezi zenyewe mbayaaaaaa!"
I just didTumia freedom yako vizuri
Huyu mtoto kama Mesut Ozil vile! Kwa nje anaonekana mayai mayai tu, na mnywa urojo kwa wingiii!! Ngoja aingie uwanjani sasa!! Shughuli yake pevu!
Kwakua wewe ni Simba Sc damu kama ulivyodai, hayo maswala waachie Yanga wenyewe walioamua kumpokea.Mimi hainiumi yanga kumpa kazi manara isipokuwa kuna yanga wangapi Tanzania nzima wenye sifa zaidi ya yale matapishi ya simba na je vipi kuhusu bumbuli yanga kindakindaki kwani ye hatoshi na nugaz je
Muda utaongea,,,,
SawaKwakua wewe ni Simba Sc damu kama ulivyodai, hayo maswala waachie Yanga wenyewe walioamua kumpokea.
Hahaaaa!!!haji bwana eti sio ile jezi ina mirangi rangi kama KITENGE CHA UGHAIBUNI.Weka picha tuione hiyo jezi bora Africa isiyo na makoromoro.
Binamu tunacheka kwa dharaaaau. π€£π€£
View attachment 1908640
Nugaz ni Simba damu pale yupo kikazi tu.Mimi hainiumi yanga kumpa kazi manara isipokuwa kuna yanga wangapi Tanzania nzima wenye sifa zaidi ya yale matapishi ya simba na je vipi kuhusu bumbuli yanga kindakindaki kwani ye hatoshi na nugaz je
Muda utaongea,,,,