demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Mapema jioni hii mabingwa wa nchi, mabingwa mara nyingi na mabingwa wa kihistoria wamezindua rasmi uzi mpya utakao tumika msimu ujao.
Mabingwa hao wameendelea kushika usukani katika kuzalisha na kutengeneza jezi nzuri na zenye ubora afrika mashariki na kati.
Rais wa Klabu anazungumza.
Sheria Ngowi anazungumza.
Sifa ya jezi za. nyumbani (home kit) imejengwa na iconic buildings zote za taifa la Tanzania.
Sifa za jezi za ugenini inaundwa na tafsiri muunganiko wa wanachama na klabu yao.
Sifa ya jezi namba tatu inaundwa na kumbukumbu ya wachezaji wa zamani wa Yanga SC.