nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,988
- 5,653
mtani kutoboa labda mtoboe tuu jezi ila kufuzu robo hamuwezi, teka dube?? teka bwabwa boyeli?? kiungo andabwile?? tutawalaumu waarabu bureKwa lile pira la jana huko Makundi tutatoboa kweli wakuu?
mtani kutoboa labda mtoboe tuu jezi ila kufuzu robo hamuwezi, teka dube?? teka bwabwa boyeli?? kiungo andabwile?? tutawalaumu waarabu bureKwa lile pira la jana huko Makundi tutatoboa kweli wakuu?
Mechi ya tarehe 22 itatupa majibu kama tulikuwa tunajitutumua kwenye preliminary round ama tulikutana na timu mbovu sana nasi tukajiona tumo. Ila kama kuna yupo karibu na uongozi humu basi awafikishe taarifa kuwa Yanga haina fitness coach wa mpira hivyo katika moja ya vitu vya kuzingatia katika mechi inayokuja ni kupandisha fitness za wachezaji. Wachezaji wakikaba mpira wana dondoka dondoka hovyo hapo ni dhidi ya wachezaji wa level ya chini tu sasa ukikutana na mijitu ya Kaskazini kule si ndio balaa?Hiyo nayo yaweza kuwa sababu japo viwango vya wachezaji naviona kama vipo chini au ndio hawajachanganyia bado? [emoji2]
Yah! Japo ukifananisha vile tumecheza kwenye zile game za preliminary round ni tofauti na tunavyocheza kwenye ligi.
Yaani kule walau tunajitutumua ila huku kwenye Ligi. Mmh.
Yaani daah sajili za baadhi ya wachezaji na kocha kote tumepuyanga, kwanza hata sielewi yule miloud hamdi waliachana nae kwa sababu zipi labda, then eng akaenda fanya sajili ya roman folz ambae hana experience na soka la africa even profile yake ni ndogo kwa miloud hamdi, wakati hii yanga hapa ilipo sasa inahitaji kocha mwenye experience ya kutosha kwa level ya mpira wetu wa kiafrica hasa kwenye mashindano ya CAF.Kabisa yaani. Na mpaka sasa sijajuaga hizi sajili huwa na baraka ya nani mana msimu huu kiukweli tumepatwa.
apo kwenye fitness coach nakubaliana na wewe 100% yule aliyepo sasa ni gym trainer tu, kuna wale fitness coach wa nabi, gamondi na ramovic walikuwa wapo vizuri sana, ila huyu msouth mmmh timu inakata pumzi kipindi cha pili mfano ile mechi na silver striker pale kwa mkapa daah inasikitisha sana, wakati yanga yetu tunayoijuaga kipindi cha pili huwa timu inacheza kwa energy ya juu muda wote..Mechi ya tarehe 22 itatupa majibu kama tulikuwa tunajitutumua kwenye preliminary round ama tulikutana na timu mbovu sana nasi tukajiona tumo. Ila kama kuna yupo karibu na uongozi humu basi awafikishe taarifa kuwa Yanga haina fitness coach wa mpira hivyo katika moja ya vitu vya kuzingatia katika mechi inayokuja ni kupandisha fitness za wachezaji. Wachezaji wakikaba mpira wana dondoka dondoka hovyo hapo ni dhidi ya wachezaji wa level ya chini tu sasa ukikutana na mijitu ya Kaskazini kule si ndio balaa?
Cha kwanza nimekumiss Mtani.mtani kutoboa labda mtoboe tuu jezi ila kufuzu robo hamuwezi, teka dube?? teka bwabwa boyeli?? kiungo andabwile?? tutawalaumu waarabu bure
Hahahaaa. Hadi nimecheka. Lol.mtani kutoboa labda mtoboe tuu jezi ila kufuzu robo hamuwezi, teka dube?? teka bwabwa boyeli?? kiungo andabwile?? tutawalaumu waarabu bure
mtani nipo nashukuru Mungu bado anatupa uhai.Cha kwanza nimekumiss Mtani.
Milod hamdi alipata ofa nzuri zaidi misri. Kwa msuri ya pesa bado hatuwezi kushindana na timu za misri hata ambazo zinashika nafasi za kati katika ligi kwaiyo hatukua na namna zaidi ya kumwacha aondoke.Yaani daah sajili za baadhi ya wachezaji na kocha kote tumepuyanga, kwanza hata sielewi yule miloud hamdi waliachana nae kwa sababu zipi labda, then eng akaenda fanya sajili ya roman folz ambae hana experience na soka la africa even profile yake ni ndogo kwa miloud hamdi, wakati hii yanga hapa ilipo sasa inahitaji kocha mwenye experience ya kutosha kwa level ya mpira wetu wa kiafrica hasa kwenye mashindano ya CAF.
Punde si punde likatokea la kutokeaLeo ndio leo.
Kila la kheri Timu ya Wananchi.
Yaani. Ahsante sana mdogo wanguPunde si punde likatokea la kutokea
Pole dada angu
Kouma ni tapeli tu nikisema Toka zamaniYanga acheni uduanzi huyu Kouma anamzidi kipi Shakhan🚮🚮🚮
Tarehe 15 MarchNext match lini
Sio kwamba ni tarehe 12?Tarehe 15 March
Mechi ya prison waliohamisha uwanja kutoka Sokoine kwenda TaboraSio kwamba ni tarehe 12?