You left me but remember

Bado madam, sumu yenyewe kumbe sikusoma maelekezo yake vizuri wakati nanunua, nimegundua imeexpire bwana, kama ujuavyo tena kutumia vitu ambavyo muda wake wa matumizi umepita si jambo zuri kiafya!

Ungekunywa tu ndo ingekuondoa haraka
 
I love love.... I hope you do too..
 
Si unaona navyojiliza mkuu?

mkuu nimeona!

ila nimeshangaa kweli pale uliposema eti upo kwa ajili yake pale atakapojisikia kurudi!

mbaya sana hiyo mkuu, ina maana wewe ni reserve requirement ama?
 
mkuu nimeona!

ila nimeshangaa kweli pale uliposema eti upo kwa ajili yake pale atakapojisikia kurudi!

mbaya sana hiyo mkuu, ina maana wewe ni reserve requirement ama?

Samahani sana kwa herufi kubwa...unaweza niambia jinsia yako? niambie nikuambie kitu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…