PSPA Pure'12 udsm
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 829
- 443
True relationship never come frm blue sky,needs time,tolerance, commitment n positive attitude to ur partiner kwamba hata inapotokea amekosea you just experience the pain huku moyoni ukijisemea s/he had good intention but it came as uncertainty.
Actually hii attitude haiji mara moja. Na mtu hua anaanza kujenga huu uwezo from 20s simply because kwa maisha yetu ya kitanzania angalau 20s unaanza kupata uhuru (may be inherently) kutoka kwa wazaz au walezi.
Kwenye early 20s hasa wale wanaokuwa mashuleni na vyuon huu ndo wakati muafaka wa kudefine fate of your life. Hapa unapata exposure ya kuishi na jamii yenye malez,tamaduni mila na mitazamo ya kila mamna.
Hivyo hapa hua ndo hujengeka shape halisi ya vitu mbalimbali ktk msisha na hivyo kuamua maisha na aina ya mtu unaemhitaji. Usipoitumia vema fursa hii,andika wewe ni looser. Maana ukitoka hapo kapa, kwenye mahusiano ujue utakuja kuokoteza kila anaekatiza mbele yako.
Always men and women of values, hutengeneza mstakabali ya penzi lao in 20s. waliokosa utasikia mungu atanipa tu....nani kasema itapewa mke/ mme uzeeni. wengine tunapishana nao mitandaoni humo wanahangaika kutafuta wenza kwa kuwa umri unawatupa mkono.
Najua wale loosers watabisha!
Actually hii attitude haiji mara moja. Na mtu hua anaanza kujenga huu uwezo from 20s simply because kwa maisha yetu ya kitanzania angalau 20s unaanza kupata uhuru (may be inherently) kutoka kwa wazaz au walezi.
Kwenye early 20s hasa wale wanaokuwa mashuleni na vyuon huu ndo wakati muafaka wa kudefine fate of your life. Hapa unapata exposure ya kuishi na jamii yenye malez,tamaduni mila na mitazamo ya kila mamna.
Hivyo hapa hua ndo hujengeka shape halisi ya vitu mbalimbali ktk msisha na hivyo kuamua maisha na aina ya mtu unaemhitaji. Usipoitumia vema fursa hii,andika wewe ni looser. Maana ukitoka hapo kapa, kwenye mahusiano ujue utakuja kuokoteza kila anaekatiza mbele yako.
Always men and women of values, hutengeneza mstakabali ya penzi lao in 20s. waliokosa utasikia mungu atanipa tu....nani kasema itapewa mke/ mme uzeeni. wengine tunapishana nao mitandaoni humo wanahangaika kutafuta wenza kwa kuwa umri unawatupa mkono.
Najua wale loosers watabisha!