You don get urs at 20's, Hesabu we ni looser!

PSPA Pure'12 udsm

JF-Expert Member
Jan 11, 2013
829
443
True relationship never come frm blue sky,needs time,tolerance, commitment n positive attitude to ur partiner kwamba hata inapotokea amekosea you just experience the pain huku moyoni ukijisemea s/he had good intention but it came as uncertainty.

Actually hii attitude haiji mara moja. Na mtu hua anaanza kujenga huu uwezo from 20s simply because kwa maisha yetu ya kitanzania angalau 20s unaanza kupata uhuru (may be inherently) kutoka kwa wazaz au walezi.

Kwenye early 20s hasa wale wanaokuwa mashuleni na vyuon huu ndo wakati muafaka wa kudefine fate of your life. Hapa unapata exposure ya kuishi na jamii yenye malez,tamaduni mila na mitazamo ya kila mamna.

Hivyo hapa hua ndo hujengeka shape halisi ya vitu mbalimbali ktk msisha na hivyo kuamua maisha na aina ya mtu unaemhitaji. Usipoitumia vema fursa hii,andika wewe ni looser. Maana ukitoka hapo kapa, kwenye mahusiano ujue utakuja kuokoteza kila anaekatiza mbele yako.

Always men and women of values, hutengeneza mstakabali ya penzi lao in 20s. waliokosa utasikia mungu atanipa tu....nani kasema itapewa mke/ mme uzeeni. wengine tunapishana nao mitandaoni humo wanahangaika kutafuta wenza kwa kuwa umri unawatupa mkono.

Najua wale loosers watabisha!
 
daaah....umenifanya nimkumbuke "mzee machache"...!!
sijui kwanini...
 
Mimi nabisha....hakuna wakati maalumu wa kutengeneza mahusiano. Mahusiano makini,thabiti na endelevu hujitengeneza yenyewe
 
Af wanaume viumbe wa ajabu sana. Ukiwa nao kwenye mahusiano ukawa unahoji mustakabali wa mahusiano yenu wanakubandika jina eti king'ang'anizi wa ndoa. Ukiamua kuuchuna na kuwa 'mpole' itafika wakati watakwambia umekubali kuchezewa miaka yote sasa hivi unataka akuoe nani. Sijui huwa wanataka tufanye nini....they are unpredictable and so selfish...
 
Yani ujinga tu ndio maana ndoa zinawashinda... what is age ? Who told u every one believe on marrage? Ndoa ndoa kama ni pesa nunua dunia.... akili za kitoto shida sana alafu unakuta anayemfundisha huu ujinga yeye ajaoa au kaoa lakini imemshinda...
 
Af wanaume viumbe wa ajabu sana. Ukiwa nao kwenye mahusiano ukawa unahoji mustakabali wa mahusiano yenu wanakubandika jina eti king'ang'anizi wa ndoa. Ukiamua kuuchuna na kuwa 'mpole' itafika wakati watakwambia umekubali kuchezewa miaka yote sasa hivi unataka akuoe nani. Sijui huwa wanataka tufanye nini....they are unpredictable and so selfish...

Wanaume baadhi yao kama siyo wote wabinafsi sana very very selfish never count on them...
 
umesahau kitu flani nahisi japo sina uhakika...
Maisha si kama mnazi uliopandwa miaka 10 iliyopita ukaukuta leo uko pale pale...maisha na mawazo yanaenda pamoja,ni kama hali ya hewa leo mvua,kesho jua...

kwahiyo basi,ndani ya 20's utajipanga vizuri sana,kabla hata haijapita miaka miwili kila ulichokipanga nakukifanya vinabadilika...so sidhani theory yako iko sawa.
 
Kila mtu anamature tofauti, Kuna mtu ktk umri mdogo anaweza tunza familia lakini wengine at 30+ ndio ule uhitaji na uwezo wa kuhandle familia unapokuja.
Kwa kuhitimisha ni kwamba unawapa sumu watu
 
Teh...teh.........PSPA '12 udsm,
Your still a student,you have much to learn young man, hujajenga hoja yako kabisa,eti experience the pain,unaanza kuexperience the pain toka kwa mwanamke..??
At 20's..??
Umechelewa sana, unaanza mapenzi at 20 ili utolerate kuexperience pains..!!
wengine wameexperience pains since their childhood, hizo pains wala hofu za pains hazitoshi kuwaconvince unachosema.
And kwa hicho tu u think kuwa umewin na kuwaita wasio na hizo pains ma loosers(sic).
Unashangilia ushindi na vita haijaisha..?
Just wait...
 
Af wanaume viumbe wa ajabu sana. Ukiwa nao kwenye mahusiano ukawa unahoji mustakabali wa mahusiano yenu wanakubandika jina eti king'ang'anizi wa ndoa. Ukiamua kuuchuna na kuwa 'mpole' itafika wakati watakwambia umekubali kuchezewa miaka yote sasa hivi unataka akuoe nani. Sijui huwa wanataka tufanye nini....they are unpredictable and so selfish...

Ww unauliza utaolewa lini ikusaidie nn?

Tulia muda ukifika utajua mustakabali wa mahusiano yako
 
opinios are not facts.. anyway mi bado niko kwenye 20's ila sijui nimepatwa au nimepata nachojua nina mtu tunayependana sana ana kazi nina kazi na kanizidi 10 years tunasongesha maisha..
 
True relationship never come frm blue sky,needs time,tolerance, commitment n positive attitude to ur partiner kwamba hata inapotokea amekosea you just experience the pain huku moyoni ukijisemea s/he had good intention but it came as uncertainty.

Actually hii attitude haiji mara moja. Na mtu hua anaanza kujenga huu uwezo from 20s simply because kwa maisha yetu ya kitanzania angalau 20s unaanza kupata uhuru (may be inherently) kutoka kwa wazaz au walezi.

Kwenye early 20s hasa wale wanaokuwa mashuleni na vyuon huu ndo wakati muafaka wa kudefine fate of your life. Hapa unapata exposure ya kuishi na jamii yenye malez,tamaduni mila na mitazamo ya kila mamna.

Hivyo hapa hua ndo hujengeka shape halisi ya vitu mbalimbali ktk msisha na hivyo kuamua maisha na aina ya mtu unaemhitaji. Usipoitumia vema fursa hii,andika wewe ni looser. Maana ukitoka hapo kapa, kwenye mahusiano ujue utakuja kuokoteza kila anaekatiza mbele yako.

Always men and women of values, hutengeneza mstakabali ya penzi lao in 20s. waliokosa utasikia mungu atanipa tu....nani kasema itapewa mke/ mme uzeeni. wengine tunapishana nao mitandaoni humo wanahangaika kutafuta wenza kwa kuwa umri unawatupa mkono.

Najua wale loosers watabisha!

hawawezi kubisha kwa sababu hakuna kitu wala watu wanaoitwa LOOSERS....labda ni lugha ingine,kama ni kiingereza kuna LOSERS!!!
 
Take it easy Kyekue...

Tatizo kuchanganya uhalisia na uongo. Mwanaume ndio anauwezo wa kujua ataishi na nani mwanamke hajui... kwa nini kwa sababu yeye ndiye anayetoa propasal sasa usipo uliza utajikuta umemridhisha weee alafu anajitapa oooh nimemtia wee nimemchoka... wanaume ninyi ni wabaya sana i real real hate u guys
 
Back
Top Bottom