Yote haya aliyaleta Bashiru Ally Kakurwa

Yote haya aliyaleta Bashiru Ally Kakurwa

Mambo ya kupita bila kupingwa .
Kununua wapinzani .
Kuvuruga uchaguzi .

Ni Kazi kubwa ya Bashiru Ally Kakurwa.
Aliyaongeza tu. CCM ni system sijui mwaka upi CCM ilikuwa ya kweli, CCM ikishindwa hapo baadaye inabidi viongozi wake wote watakao bado wanaishi washikwe na kupelekwa mahakamani kama wale ma General wa Korea Kusini walioshikwa na kuhukumiwa kwa kutofuata constitution baada ya Korea kuwa ya demokrasia
 
Huu ni ujinga!!

4R zimeshindwa kuondoa jambo lililoanzishwa na mtu mmoja tu?

Ataweza nini sasa?
4R ilikuwa project ya Mbowe na Samia kuhadaa waTz ili kuonesha 'mama kafungua nchi'!

Lakini samia hakuwa na nia yoyote ya mabadiliko.
 
Back
Top Bottom