Yondo Sister: Malkia wa soukous

Bila kawimbo kake uzi haujakamilika
 
Enzi zile yuko na kundi la soukous stars mwanamama huyu akiwa na umri kama miaka 40+ alikuwa ana uwezo wa kukata kiuno balaa, hawa kina luiza mbutu wakasome. Huyu mama sijui kapotelea wapi miaka hii? Enzi hizo miziki ya kizaire/kikongo ilikuwa imetawala anga la Tanzania
 
Kipindi hicho hatuna identity ya muziki ilikuwa ni full miziki ya Congo na kuiga ya huko ukibadilisha sana unakwenda majuu; afadhali kabla (bendi zetu zilikuwepo)

Wabarikiwe sana madogo wa sasa atleast DJ asipoweka Jingle anaweza kucheza full playlist mwanzo mwisho Miziki ya ndani

Anyway kipindi hicho kilikuwa kipindi chao ila nadhani sasa hivi Bongo are better off; Kudos kwa Madogo wa Sasa...
 
1. Yondo Sister
2. Soukoss Stars
3. Gatho Beevans
4. Mbilia Bell
5. King kester Emeneya
6. Kanda Bongoman
7. Pepe Kale
8. Koffi Olomide (huyu dingi yupo vizazi vyote)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…