Du!umenikumbusha mbali nam-mind sana mdada huyu
Ray C si chochote kitandani ikimkalia kilo sabini juu anaishiwa maajabu but Yondo kwa muonekano tu ni mwanamke wa kazi hata kitandani wau mnasemaje wadau wangu?!
Ray C si chochote kitandani ikimkalia kilo sabini juu anaishiwa maajabu but Yondo kwa muonekano tu ni mwanamke wa kazi hata kitandani wau mnasemaje wadau wangu?!
Yuko jijini Paris-France!thanks Mkuu ..miaka ile lol yuko wapi huyu mama lakini?
Wana JF nilipoona Yondo Sister nilistika sana kwani kuna CD mmoja anapatikana maeneo ya shinyanga. Huyu Mdada ukilogwa ukakalia kiti na yeye akakajirani yako atakuomba umnunulie soda kwa utanzania wako ukafanya hivyo, ujue umeoonodoka nae piga au vinginevyo lazima umlipe. Yalimkuta mzee mmoja ilibidi akimbie kwa kwa kujifanya kwenda kujisaidia akatoweka. Tahadhari kwa mnotembelea mkoa wa shy.
daaahhh huyo mama ngoma zake sio mchezo m.aiseee..umenikumbusha kitu ngoja niende YouTube leo """namzimikia sana huyu mama, kuna radio magic fm ndio mara nyingi hupiga nyimbo zake hasa jioni kuanzia saa 12 hadi 2 usiku kwenye kipindi chao cha afrika kabisa na pia jumapili kuanzia saa 10 hadi 1 usiku huwa sikosi na nafurahi sana maana jamaana wanapiga zile zile zilizotamba enzi hizo za congo
Twende kule mtaani kwetu numbi.Wafukuaji mpo vizuri