Asante sana mkuu
Duh demu ana pumzi balaa. Huu wimbo una karibu dk 8 na inaonekana alikuwa anaukung'uta wote kwa nguvu hiyo hiyo.Wanawake ndio hawa, si hawa...nyoro nyoro
Yondo Sister bado yupo mitaani. Miaka ya nyuma kidogo kulikuwa na uvumi kuwa alifariki lakini siyo kweli, bado yupo anakula maisha kama kawaida ila sasa hivi ni mama mzima kidogo kama anavyoonekana katika picha hii hapa chini:
Kwa wale walioko Uingereza nadhani walishuhudia shoo zake mwishoni mwa mwezi jana kama bango hili hapa chini linavyoonyesha
Nafikiri umaarufu wote wa Yondo ulikuwa ni kufanya show ila kama mwana muziki, mhh. Siku zote nyuma yake walikuwa wamesimama imara Wazee/Vijana wa Soukous Stars yaani Lokasa ya Mbongo, Dally Kimoko na Shimita El Diego ambaye kwa sasa naona kaanzisha bendi yake. Kwenye wimbo wa Bazo unasikia kabisa sauti ya Shimita iki-Rap. Hawa jamaa unaweza waona wote hapa na kwenye dakika ya 4 jamaa anaimba kwa Kiswahili. Na mwisho kwenye 7:14 jamaa wa west Africa kama sikosei Mali anakuja na hapo wanaanza kucheza Zugulu (sikumbuki wanaandikaje kifaransa).
Hapa Chini Yondo Sister kama mchezaji kwenye wimbo wa Lokasa ya Mbongo uitwao MARIE JOSE. Ninafikiri hata ni yeye aliimba kwenye background vocal ya huu wimbo.
Lazima nikubali kitu kimoja kuwa mziki wa Soukous hawa jamaa walikuwa wametawala kabisa. Chezaji ya Shimita hadi leo watu wanacheza. Mziki wao hadi kesho vijana wadogo wataiga ili wapate pa kutokea. Mwanzo nilikuwa nasikia Shimita anacheza ila nilikuwa sifahamu hadi nilipokuja kuona hii Video.
Ila nirudie tena, pamoja na mziki wao MZITO, unapokuja kwenye show, basi Yondo Sister alikuwa anafunika. Dada yake (na yeye Half cast) alikuwa akicheza kwenye kundi la Pepe Kalle and Empire Bakuba (nasikia walikuwa ndugu) sijui aliishia wapi?
Kusema kweli mie huyu dada alikuja enzi hizo nimeipenda bendi ya KASSAV na hasa huyu dada Jocelyne Beroad (aliyeimba Coupe Bibamba na Awilo). Huyu mama kwa kweli aliniuwa na hadi leo hii Kassav kwangu wako juu sana. Najuta sintakuja kuwaona LIVE. Anyway itabidi hata kufurahia video zao za LIVE.
Mkuu umenikumbusha mbali duh ! hahahhahah nilivyokuwa najitia stage shoo wa home nilikuwa naupenda huo mwimbo wa mbuta mbutuu mwana mamaaa mwe!
na ghato nayeee azalaki seeeawaaaa duh! si mchezo.
asanteni sana wajameniiii
Wana JF nilipoona Yondo Sister nilistika sana kwani kuna CD mmoja anapatikana maeneo ya shinyanga. Huyu Mdada ukilogwa ukakalia kiti na yeye akakajirani yako atakuomba umnunulie soda kwa utanzania wako ukafanya hivyo, ujue umeoonodoka nae piga au vinginevyo lazima umlipe. Yalimkuta mzee mmoja ilibidi akimbie kwa kwa kujifanya kwenda kujisaidia akatoweka. Tahadhari kwa mnotembelea mkoa wa shy.
Ray C si chochote kitandani ikimkalia kilo sabini juu anaishiwa maajabu but Yondo kwa muonekano tu ni mwanamke wa kazi hata kitandani wau mnasemaje wadau wangu?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.