CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 943
Hizi nimezipata toka chanzo kimoja cha habari,ila kuhusu swala la YONDANI Yanga wamepewa muda mpaka tar 9 mwezi huu ili wawe wamevunja mkataba wa YONDANI simba.
Chanzo hicho kinaendelea kusema kwamba simba wanataka kuikomoa yanga kwani wanataka $150,000.
Kuhusu Twite ni kwamba yeye ni halali kucheza Jangwani.
Chanzo hicho kinaendelea kusema kwamba simba wanataka kuikomoa yanga kwani wanataka $150,000.
Kuhusu Twite ni kwamba yeye ni halali kucheza Jangwani.