Yondan, Twite Mali ya Yanga ..... TFF Yawaidhinisha

Mfumo wetu wa usajili ni tatizo. Kwa waliomsikia Mwakalebela juzi, usajili wa Ngasa na Lidondo pia ni batili. Hata huyo Yondani atakuwaje mjinga kupokea pesa kote kote? Nchi hii kila mtu ni tapeli tu.

Tatizo vyama vyetu vya michezo kuna usimba na uyanga kuliko kuangalia kanuni, wanajifanya wanapenda hatima ya wachezaji kwa kuzipa timu nafasi timu zikubaliane kabla ya kamati kukaa wakati kanuni zipo wazi. Hapo ni kufanya maamuzi magumu tu si kuangalia huyu mchezaji ni wa Taifa sijui nini kwani kinachotakiwa ni kutoa adhabu kulingana na kanuni zinavyosema kwani kila kizazi kina enzi yake na vipaji vitakuwepo tu vingine vya kufanya replacement
 
mama acha kubwata kama bata ni sheria ipi iliyotumika kumwizinisha Yondani kuichezea Yanga kama siyo uhuni wa viongozi wa TFF, wewe uliwahi kuona wapi sheria inaamriwa kwa watu kupiga kura eti wangapi wanataka achezee Yanga na wangapi wanataka achezee Simba!? tumieni akili angalau kidogo siyo hayo makamasi yenu.....soma kilichotokea
.

Haya ni majungu mtoto wa kiume na majungu wapi na wapi?? Ulikuwepo??
 
Tatizo vyama vyetu vya michezo kuna usimba na uyanga kuliko kuangalia kanuni, wanajifanya wanapenda hatima ya wachezaji kwa kuzipa timu nafasi timu zikubaliane kabla ya kamati kukaa wakati kanuni zipo wazi. Hapo ni kufanya maamuzi magumu tu si kuangalia huyu mchezaji ni wa Taifa sijui nini kwani kinachotakiwa ni kutoa adhabu kulingana na kanuni zinavyosema kwani kila kizazi kina enzi yake na vipaji vitakuwepo tu vingine vya kufanya replacement
Na huu ujinga utaendelea....
 
Kwa sheria ipi? acha kujibu kwa ushabikiwa kijinga kama huna jibu kaa kimya...

Kwamba Yondani ni mali ya yanga sio jibu?? sawa tuone atachezea timu gani....ulidhani Yanga wapumbavu hata wamchukue na kumchezesha?? wewe kaa na majibu yako sahihi sio tuna Yondani na Twite subirini kukamuliwa na azam jioni ....
 
Kwamba Yondani ni mali ya yanga sio jibu?? sawa tuone atachezea timu gani....ulidhani Yanga wapumbavu hata wamchukue na kumchezesha?? wewe kaa na majibu yako sahihi sio tuna Yondani na Twite subirini kukamuliwa na azam jioni ....
Kufungwa na Azam ni sehemu ya mchezo kama alivyo wafunga nyie goli tatu mkapiga waamzi au kama tulivyo wafunga 5 -0 na kushangaa kuona ni kitu cha ajabu sana wakati hata mwezi haujapiata tulimfunga 2-0 leo nae akitufunga ni dhabi au soka umelijulia uzeeni...Haya Mna Twite na Yondani hakuna timu itakayo wafunga barni Afrika..
 
tarehe 13 mwezi novemba mwaka
1991 katika uwanja wa taifa timu ya
Yanga ya Tanzania waliingia uwanjani na basi la
Sharuksy lililokuwa likimilikiwa na mfadhili wao wa kipindi hicho marehemu Abbas
Gulamali, timu ya Simba ya Dar es salaam iliweka mpira kwapani wakati wa mapumziko na
kutokomea kusiko julikana.
kuweka mpira kwapani kulifuatia vipigo
mfululizo vya august 31, october 9 lakini ilitanguliwa na kipigo cha Said Sued "Scud" cha
mei 18.

Simba bana kwa kuandika historia, wanatisha kwa kweli. Hapo kwenye BOLD ndio waliandika historia kuwa timu pekee Afrika mashariki kuweka mpira kwapani.
 
Kufungwa na Azam ni sehemu ya mchezo kama alivyo wafunga nyie goli tatu mkapiga waamzi au kama tulivyo wafunga 5 -0 na kushangaa kuona ni kitu cha ajabu sana wakati hata mwezi haujapiata tulimfunga 2-0 leo nae akitufunga ni dhabi au soka umelijulia uzeeni...Haya Mna Twite na Yondani hakuna timu itakayo wafunga barni Afrika..

Angalau nimekupata....umeniambia naandika kishabiki nikadhani wewe pia sio mmoja wao....goood. Tuelekee uwanjani kuona simba bila Yondani akinyolewa....
 
Angalau nimekupata....umeniambia naandika kishabiki nikadhani wewe pia sio mmoja wao....goood. Tuelekee uwanjani kuona simba bila Yondani akinyolewa....
Sasa unaenda kuangalia nini wakati tayari umeshaiona mechi na matokeo unayo.....
 
Kufungwa na Azam ni sehemu ya mchezo kama alivyo wafunga nyie goli tatu mkapiga waamzi au kama tulivyo wafunga 5 -0 na kushangaa kuona ni kitu cha ajabu sana wakati hata mwezi haujapiata tulimfunga 2-0 leo nae akitufunga ni dhabi au soka umelijulia uzeeni...Haya Mna Twite na Yondani hakuna timu itakayo wafunga barni Afrika..

Hatuna haja na vita visivyo na maslahi, mngefunga hata kumi.

Ukitaka kujua Yanga ndio mume hapa we weka fedha mbele ndio utajua kwa nini tumebinafsisha Kagame
 
Angalau nimekupata....umeniambia naandika kishabiki nikadhani wewe pia sio mmoja wao....goood. Tuelekee uwanjani kuona simba bila Yondani akinyolewa....

Hawa Azam wahuni sana, last time wameona simba kavaa suti, si wakamtegea Azam Ball Cone kwenye kiti. Mtu mzima na suti yake akakalia ice cream, aibu. Na tangu siku hiyo kazi imekuwa ngumu kwao.

Kwenye Simba-Koko Day wakaenda Kenya kutafuta kibonde cha kufutia machozi, si kikawageuka. Juzi Sofapaka nao wakaja kula uroda. Simba koko huyo, anapandwa hadi na fisi
 
tarehe 13 mwezi novemba mwaka
1991 katika uwanja wa taifa timu ya
Yanga ya Tanzania waliingia uwanjani na basi la
Sharuksy lililokuwa likimilikiwa na mfadhili wao wa kipindi hicho marehemu Abbas
Gulamali, timu ya Simba ya Dar es salaam iliweka mpira kwapani wakati wa mapumziko na
kutokomea kusiko julikana.
kuweka mpira kwapani kulifuatia vipigo
mfululizo vya august 31, october 9 lakini ilitanguliwa na kipigo cha Said Sued "Scud" cha
mei 18.
Tuwekee kumbukumbu zako za tangu 2001 mpaka 2008 kisha 2009 mpaka 2012..usisahau ya 5 - 0
 
Hawa Azam wahuni sana, last time wameona simba kavaa suti, si wakamtegea Azam Ball Cone kwenye kiti. Mtu mzima na suti yake akakalia ice cream, aibu. Na tangu siku hiyo kazi imekuwa ngumu kwao.

Kwenye Simba-Koko Day wakaenda Kenya kutafuta kibonde cha kufutia machozi, si kikawageuka. Juzi Sofapaka nao wakaja kula uroda. Simba koko huyo, anapandwa hadi na fisi

Umeonaeee.. simba gani analiwa na paka??
 
Hawa Azam wahuni sana, last time wameona simba kavaa suti, si wakamtegea Azam Ball Cone kwenye kiti. Mtu mzima na suti yake akakalia ice cream, aibu. Na tangu siku hiyo kazi imekuwa ngumu kwao.

Kwenye Simba-Koko Day wakaenda Kenya kutafuta kibonde cha kufutia machozi, si kikawageuka. Juzi Sofapaka nao wakaja kula uroda. Simba koko huyo, anapandwa hadi na fisi
Kumbukumbu zangu zina sema mara ya mwisho azamu tulimtandika goli 2 - 0..kama ni simba koko njoo wwe kama hutoondoka na mimba...
 
Hatuna haja na vita visivyo na maslahi, mngefunga hata kumi.

Ukitaka kujua Yanga ndio mume hapa we weka fedha mbele ndio utajua kwa nini tumebinafsisha Kagame
Makombe menginehayana pesa kombe la supa8 lilikuwa la milion ngapi mlishiriki au mna makombe mengi sana kwa hivyo hamtaki tena...homgereni maana mtashiri michuano ya kimataifa wakati sisi ukitoa ligi kuu labda litokee kombe la kuku...Wanaume tutakuwa tunapaa leo Misri, Sudan, Senegal huku yanga mkitushangilia uwanja wataifa kama leo mtakavyo shangilia wanaume tukicheza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom