Yohana Alcohol Mapadlock Akipiga Kikombe Cha Babu.

Yohana Alcohol Mapadlock Akipiga Kikombe Cha Babu.

Blac kid

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
6,682
Reaction score
7,504
Hivi mheshimiwa anaumwa nini?
 

Attachments

  • 1437128883280.jpg
    1437128883280.jpg
    24.9 KB · Views: 1,910
ukali...xo anakunywa dawa awe mpole kama jk
 
Watanganyika ni wa ajabu sana, mtu akinywa hata maji kwenye kikombe wanashangaa.
 
MAGUFULI huwa Ana matatizo ya nerves ..NA wakati Akiwa WAZIRI wa Ujenzi miaka ya 2004 ..aliwahi kuzirai Dodoma NA kukimbizwa Moi NA Baaday Ujerumani kwa matibabu ..Hilo Ndio Tatizo pekee kubwa lilowahi kuripotiwa hadharani ..Hadi SASA
 
magufuli huwa ana matatizo ya nerves ..na wakati akiwa waziri wa ujenzi miaka ya 2004 ..aliwahi kuzirai dodoma na kukimbizwa moi na baaday ujerumani kwa matibabu ..hilo ndio tatizo pekee kubwa lilowahi kuripotiwa hadharani ..hadi sasa
basi bhaswahili walivumisha ..eti alisumushwa!!
 
MAGUFULI huwa Ana matatizo ya nerves ..NA wakati Akiwa WAZIRI wa Ujenzi miaka ya 2004 ..aliwahi kuzirai Dodoma NA kukimbizwa Moi NA Baaday Ujerumani kwa matibabu ..Hilo Ndio Tatizo pekee kubwa lilowahi kuripotiwa hadharani ..Hadi SASA

kuna kipindi alikimbizwa India pia
wengine wanasema ilikua attempt on his life
 
kuna kipindi alikimbizwa India pia
wengine wanasema ilikua attempt on his life

Uzuri kaka Sisi tupo NA faili la MAGUFULI HAPA 2006 lilikuwa sana HAPA JF ...NA watu wakapiga kelele akapewa Ulinzi ...Ndio Hadi Leo ..MWAKA 2012 aliugua sana ..nadhani Ndio Hiyo ya India.
Alijijengea maadui sana ndani ya SERIKALI
 
MAGUFULI huwa Ana matatizo ya nerves ..NA wakati Akiwa WAZIRI wa Ujenzi miaka ya 2004 ..aliwahi kuzirai Dodoma NA kukimbizwa Moi NA Baaday Ujerumani kwa matibabu ..Hilo Ndio Tatizo pekee kubwa lilowahi kuripotiwa hadharani ..Hadi SASA

Itakuwa kweli make kikombe cha babu kilikuwa maalum kwa mgonjwa sugu na sumbufu yasiyotibika hospital za kawaida
 
Yohana Alcohol Mapadlock, hii ni kali sana mkuu , hahahahahaha
 
Back
Top Bottom