Jeji
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,975
- 371
mkuu nimecheka sana, kwani braza meeni wa songea wakoje??braza meni wa songea huyo bana.....
mkuu nimecheka sana, kwani braza meeni wa songea wakoje??braza meni wa songea huyo bana.....
Hahaaaaa nani atambaka?Believe me......funda moja la mwisho tu.....unabakwa.
karibu mnooo mwana unachana kinoma ila duh!we mwenyewe unajua jins gan nilivyo noma..
Ntakupoteza kwa punch line mwnyw utakoma..
Ntakugeuza mishkak ki msingi nitakuchoma..
ucchokoze hu moto nakuambia tena koma
braza meni wa songea huyo bana.....
yoyoyoyoyoyoyo...............
nakamata maiki kumkaribisha sharobaro meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen.
We ni yoyo uliyepigwa ban sio?
Naona unatuma salam kwa invisible za kiaina.
Jamani tunamkaribisha chizi jamvini. Tuwe makini.
yoyoyoyoyoyoyo...............
nakamata maiki kumkaribisha sharobaro meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen.
Karibu BB... tuna jukwaa la lugha kama utataka kuji express kwa namna ya kisanii zaidi...
Nyumbi hii bombi hii.braza meni wa songea huyo bana.....
we mwanamke hii tabia ya kusifia sifia watu umeianza lini?karibu mnooo mwana unachana kinoma ila duh!