YESU ni MUNGU (Isaya 9:6)

YESU ni MUNGU (Isaya 9:6)

Elisha

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2011
Posts
638
Reaction score
1,040
Kamata Biblia yako takatifu turejee utabiri wa nabii Isaya katika Isaya 9:6

Katika Isaya 9:6, neno la Mungu linasema; "Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto wa kiume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani."

Ukisoma Yohana 1:1 pia utaona kuwa Yesu ni Mungu!! Mstari huu unaosema hivi, "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu."

Tafadhali, naomba nisaidie kuwaambia wawili, watatu kuwa;

YESU ni MUNGU !!!

Barikiwa.
 
Kamata Biblia yako takatifu turejee utabiri wa nabii Isaya katika Isaya 9:6

Katika Isaya 9:6, neno la Mungu linasema; "Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto wa kiume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani."

Ukisoma Yohana 1:1 pia utaona kuwa Yesu ni Mungu!! Mstari huu unaosema hivi, "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu."

Tafadhali, naomba nisaidie kuwaambia wawili, watatu kuwa;

YESU ni MUNGU !!!

Barikiwa.
JAPO MIMI SIYO MKRISTO ILA DINI YA KWELI NI UKRISTO (YAANI INJILI) NA YESU NI MUNGU NAFSI PEKEE YA MUNGU SIYO NAFSI YA PILI WALA YA 3 ...PIA ROHO MTAKATIFU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA WACHAMUNGU ...Siyasemi haya kishabiki bali KIAKILI ...ni mpumbavu anaye shindwa kumtambua Yesu ni nani.
 
JAPO MIMI SIYO MKRISTO ILA DINI YA KWELI NI UKRISTO (YAANI INJILI) NA YESU NI MUNGU NAFSI PEKEE YA MUNGU SIYO NAFSI YA PILI WALA YA 3 ...PIA ROHO MTAKATIFU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWACHAMUNGU ...Siyasemi haya kishabiki bali KIAKILI ...ni mpumbavu anaye shindwa kumtambua Yesu ni nani.

Pia kabla hawajashusha hoja zao.
Wasome pia na Quran 4 : 171

تَقُولُوا عَلَى اللَّهِ إِلَّا الْحَقَّ ۚ إِنَّمَا الْمَسِيحُ عِيسَى ابْنُ مَرْيَمَ رَسُولُ اللَّهِ وَكَلِمَتُهُ أَلْقَاهَا إِلَىٰ مَرْيَمَ وَرُوحٌ مِنْهُ ۖ فَآمِنُوا بِاللَّهِ وَرُسُلِهِ ۖ وَلَا تَقُولُوا ثَلَاثَةٌ ۚ انْتَهُوا خَيْرًا لَكُمْ ۚ إِنَّمَا اللَّهُ إِلَٰهٌ وَاحِدٌ ۖ سُبْحَانَهُ أَنْ يَكُونَ لَهُ وَلَدٌ ۘ لَهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۗ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ وَكِيلًا

Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu. Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha."
 
Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana.

Hasa hasa hiki Kipande.
Maana kwenye kushushwa kwa roho hawana shaka napo. Ila kwenye Huyo Nabii Isa (ameitwa Masihi hapo mwanzoni) ndio wana mashaka napo.

Nasisitiza. USIKURUPUKE. Soma kwa kutulia mara hata 10 kumi
 
MATHAYO 16:15-17
15 Kisha Yesu akawauliza, “Na ninyi mnasema mimi ni nani?”

16 Simoni Petro akajibu, “Wewe ni Masihi, Mwana wa Mungu aliye hai.”

17 Yesu akajibu, “Umebarikiwa, Simoni mwana wa Yona. Hakuna aliyekufundisha hilo ila Baba yangu wa mbinguni ndiye amekuonesha mimi ni nani.

Kama Yesu mwenyewe kwa kinywa chake alikubaliana na Simoni na akamwambia umebarikiwa kwa kukiri kuwa Yesu ni mwana wa Mungu wewe fara mmoja ni nani upingane naye?

SOMO: Wote wanaoamini Yesu sio Mungu wamebarikiwa kama Simoni
 
MATHAYO 16:15-17
15 Kisha Yesu akawauliza, “Na ninyi mnasema mimi ni nani?”

16 Simoni Petro akajibu, “Wewe ni Masihi, Mwana wa Mungu aliye hai.”

17 Yesu akajibu, “Umebarikiwa, Simoni mwana wa Yona. Hakuna aliyekufundisha hilo ila Baba yangu wa mbinguni ndiye amekuonesha mimi ni nani.

Kama Yesu mwenyewe kwa kinywa chake alikubaliana na Simoni na akamwambia umebarikiwa kwa kukiri kuwa Yesu ni mwana wa Mungu wewe fara mmoja ni nani upingane naye?

SOMO: Wote wanaoamini Yesu sio Mungu wamebarikiwa kama Simoni

Tumalizie mstari wa 18 na 19.
Nao unasema

18"Nami nakuambia, wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu ambalo hata nguvu za kuzimu haziwezi kulishinda. 19 Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni na lo lo te utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni na lo lote utakalofungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.”

Na Kanisa hilo limejengwa kwa kuamini MUNGU mmoja mwenye nafsi 3.
 
Hata usishangae Yesu kujiita Mungu, kuitwa Mungu au kuwa Mungu hata wakati huu kuna watu wanajiita hivyo. Watu wa initiation na meditation wana level zao hadi kufikia huko na wao wanaamini Yesu alifika level hiyo kwahiyo hakuna cha ajabu hapo 😀
 
Tumalizie mstari wa 18 na 19.
Nao unasema

18"Nami nakuambia, wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu ambalo hata nguvu za kuzimu haziwezi kulishinda. 19 Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni na lo lo te utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni na lo lote utakalofungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.”

Na Kanisa hilo limejengwa kwa kuamini MUNGU mmoja mwenye nafsi 3.
NENO UFUNGUO WA UFALME WA MBINGUNI JAPO LINAONEKANA KANA KWAMBA ANA AMBIWA PETRO TU SIYO KWAMBA ALIKUWA ANA AMBIWA YEYE TU UKITUMIA AKILI UTAJUA UFUNGUA NI NINI ?
👉UFUNGUA WA UFALME WA MBINGUNI NI ROHO MTAKATIFU KWA KUWA NI NAFSI YA MUNGU .... NA UPOKEWA NA WACHAMUNGU WOTE WALIO THABITI
 
Sa
Kamata Biblia yako takatifu turejee utabiri wa nabii Isaya katika Isaya 9:6

Katika Isaya 9:6, neno la Mungu linasema; "Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto wa kiume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani."

Ukisoma Yohana 1:1 pia utaona kuwa Yesu ni Mungu!! Mstari huu unaosema hivi, "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu."

Tafadhali, naomba nisaidie kuwaambia wawili, watatu kuwa;

YESU ni MUNGU !!!

Barikiwa.
Sawa
 
Kamata Biblia yako takatifu turejee utabiri wa nabii Isaya katika Isaya 9:6

Katika Isaya 9:6, neno la Mungu linasema; "Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto wa kiume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani."

Ukisoma Yohana 1:1 pia utaona kuwa Yesu ni Mungu!! Mstari huu unaosema hivi, "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu."

Tafadhali, naomba nisaidie kuwaambia wawili, watatu kuwa;

YESU ni MUNGU !!!

Barikiwa.
Niko Nawe mpaka kobazi wakuue Kwa mawe
 
Mungu hayupo.

Yesu hayupo.

Achana na hadithi uchwara zisizo na kichwa wala miguu.
 
Atheist ⚛️
In fact kila binadamu ni atheist in nature.

Atheist hana imani wala dini yoyote ile.

Kila binadamu alizaliwa atheist bila kuwa na imani wala dini yoyote ile.

Mpaka pale ulipo aminishwa na wazazi au walezi wako kuamini kwenye imani fulani.

Religion is a fictional identity.

You were indoctrinated to believe in religion.
 
In fact kila binadamu ni atheist in nature.

Atheist hana imani wala dini yoyote ile.

Kila binadamu alizaliwa atheist bila kuwa na imani wala dini yoyote ile.

Mpaka pale ulipo aminishwa na wazazi au walezi wako kuamini kwenye imani fulani.

Religion is a fictional identity.

You were indoctrinated to believe in religion.
Atheist wabishi sana 😂😂
 
Atheist wabishi sana 😂😂
Hakuna ubishi hapo.

That's reality.

Hata wewe ulizaliwa bila dini wala imani yoyote ile.

Wazazi/walezi wako ndio waliku introduce kwenye kuamini imani za kidini.

But initially you were born Atheist.

Bila kuwa na imani yoyote ile.
 
JAPO MIMI SIYO MKRISTO ILA DINI YA KWELI NI UKRISTO (YAANI INJILI) NA YESU NI MUNGU NAFSI PEKEE YA MUNGU SIYO NAFSI YA PILI WALA YA 3 ...PIA ROHO MTAKATIFU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA WACHAMUNGU ...Siyasemi haya kishabiki bali KIAKILI ...ni mpumbavu anaye shindwa kumtambua Yesu ni nani.
Ubarikiwe sana mkuu kwa mchango wako!
 
Back
Top Bottom