Yeriko Nyerere Yu Wapi Leo?

kiben10

JF-Expert Member
Apr 28, 2018
616
789
Hakuna asiejua ni nini kinaendelea huku Socioni, kupitia kwa social network kuanzia jana usiku majira wa saa mbili usiku hadi hivi leo ninapoandika ujumbe huu kuwa ari iyopo kwa baadhi ya watanzania tunaoitembelea mitando ya kijamii especially Twitter.
Ni ajabu sana kuona matukio makubwa kama haya huyu kijana sijaona hata post yake, ambapo hatujamzoe kama ilivyo ada yake mchangiaji mkubwa na mkosoaji mkubwa wa Mtukufu wetu na mtu mwenye power pia na mitandao.

Swali: Yeriko nyerere Why jambo hili sioni mchango wake? au nae Upepo wa Kisulisuli umemchukua?

IMG_20191019_192439.jpeg
 
Kwenye mitandao ya kijamii kuna nini kikubwa, samahani kwa swali hili. Kuna mengi ila hilo nyeti ni lipi hasawa ktk mengi yavumayo?
 
Hakuna asiejua ni nini kinaendelea huku Socioni, kupitia kwa social network kuanzia jana usiku majira wa saa mbili usiku hadi hivi leo ninapoandika ujumbe huu kuwa ari iyopo kwa baadhi ya watanzania tunaoitembelea mitando ya kijamii especially Twitter.
Ni ajabu sana kuona matukio makubwa kama haya huyu kijana sijaona hata post yake, ambapo hatujamzoe kama ilivyo ada yake mchangiaji mkubwa na mkosoaji mkubwa wa Mtukufu wetu na mtu mwenye power pia na mitandao.

Swali: Yeriko nyerere Why jambo hili sioni mchango wake? au nae Upepo wa Kisulisuli umemchukua?

View attachment 1238530
Labda ndio anatumia ile ID fake ya ........Mburahati2014!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom