PreGE2025 Yericko Nyerere ashinda Uchaguzi Kigamboni

PreGE2025 Yericko Nyerere ashinda Uchaguzi Kigamboni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

SANGAPIPI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
210
Reaction score
325
Mdau wa Jamiiforums mwanasiasa na mwandishi bora wa Vitabu Barani Afrika 2023 ambae pia anawania tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Barani Afrika kwa 2024, bwana Yericko Nyerere ameibuka kidedea katika Uchaguzi wa Chadema Wilaya ya Kigamboni uliofanyika tarehe 27/7/2024,

Yericko ameshinda nafasi ya Ujumbe wa Mkutano Mkuu Taifa kwa kura 51 kati ya kura 72 huku Mshindani wake Bwana Sultan Ibrahim aliyepata kura 19 kati ya kura 72.



IMG_0109.jpeg
 
Back
Top Bottom