Yemeni Houthis yashambulia Tel Aviv

Yemeni Houthis yashambulia Tel Aviv

Wanaukumbi.

Msemaji wa Jeshi la Yemen "Houthis":

Tunatangaza eneo la Yafa "Tel Aviv" kama eneo lisilo salama na litakuwa lengo kuu ndani ya anuwai ya silaha zetu.

Shambulio la ndege zisizo na rubani lilitokea karibu na ubalozi mdogo wa Marekani mjini Tel Aviv, Israel, na kusababisha uharibifu mkubwa na majeruhi.

Ndege hiyo isiyo na rubani, inayoaminika kurushwa kutoka Bahari ya Mediterania, iligonga jengo lililo chini ya mita 100 kutoka kwa ubalozi huo.

Shambulio hilo lilisababisha kifo cha mtu mmoja na majeruhi kadhaa.


View: https://x.com/currentreport1/status/1814134362830684458?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://x.com/hoaxvstruths/status/1814219578098028765?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Huyo jamaa na kasauti kake kamchongo ajiandae kuchimba kaburi Lake. Israel sio na hawana mchezo niwatoa soho. Nitaifa lamasimba
 
wanachokitafuta watakipata.
Wanatafuta nini kama usa na advice carrier ameamua kuondoka zake huyu myahudi anakitu gan kumshinda baba
Huyo jamaa na kasauti kake kamchongo ajiandae kuchimba kaburi Lake. Israel sio na hawana mchezo niwatoa soho. Nitaifa lamasimba
Yemen sio occupy territory .my dear friend
 
Too bad wahanga wakubwa wa hizo purukushani ni watoto na wanawake,,,ila Yemen wajiandae na wao
 
Huyo jamaa na kasauti kake kamchongo ajiandae kuchimba kaburi Lake. Israel sio na hawana mchezo niwatoa soho. Nitaifa lamasimba
Yemeni sio Palestina,nakusisitiza Yemeni sio Palestina.
Hata hivi Afrika hakuna nchi inaweza pimana ubavu wa vita na Yemeni.
Muulize USA kwanini kakimbia red sea.
Hao hawanaga retreat wala surrender.
Na wana kila silaha kasoro ndege za kivita tu na nuclear.
 
Vice versa: Vilio, Simanzi na Huzuni zitokanazo na majibu ya kitendo hicho pia viende kwa Russia na Iran.
Viende kwa Iran na Russia kivipi mkuu?
Au unamaanisha Israel itashambulia Iran na Russia!?
Hivi uliwahi kujiuliza tokea Russia aiunge mkono Syria na mpaka sasa yupo Syria kwanini Israel hajawahi kushambulia eneo alilopo Russia na akijua Russia anamuunga mkono adui yake Syria!?
Angalau Iran huwa anajitahidi kumgusa.
Russia ni next level mkuu,huyo Israel anaweza potezwa na asiamini kama atagusa mtu yeyote wa Urusi.
 
Ooh iran ana tafutwa ooh waarabu wana tafutwa..ime geuka kumbe israel ndo ana tafutwa aingie full na shoga zake..kila siku ana chapwa ila apeleki full mkoko ana ogopa nini
Bado hawajajaa kwenye target za mayahudi

Inawezekana kunaandaliwa pigo ambalo nchi nzima itabaki ikilaani na kulia lia

Myahudi hajawahi kuwa mjinga linapokuja suala la vita!
 
Bado hawajajaa kwenye target za mayahudi

Inawezekana kunaandaliwa pigo ambalo nchi nzima itabaki ikilaani na kulia lia

Myahudi hajawahi kuwa mjinga linapokuja suala la vita!
Sio kwa sasa watu wanatafuta sababu ya myaudi feki kuchapwa. Nakuambia russia, iran na china wapo nyuma. Maana myaudi fake alimsaidia ukraine, sasa watu wanamtafutia sababu tu wamchape. Kwanini yupo kimya maana kashitukia mchezo yeye na usa wake.
 
Bado hawajajaa kwenye target za mayahudi

Inawezekana kunaandaliwa pigo ambalo nchi nzima itabaki ikilaani na kulia lia

Myahudi hajawahi kuwa mjinga linapokuja suala la vita!
Walokole bana kwa hiyo kwa dunia ya sasa nani ni mjinga .kama una mahaba na myahudi si jiolee hata dada yako ili ufaidi ukoo wa kiyahudi ili tukuite Black jewish .narudia tena sifa anazopewa huyo jamaa ni za uongo na za kutoka kwa watu wajinga kama ninyi
 
Israhell si haipigiki inalindwa na mungu 😀😀😀
Israhell ya biibiisii inatisha kuliko hii yenyewe yaani
 
Bado hawajajaa kwenye target za mayahudi

Inawezekana kunaandaliwa pigo ambalo nchi nzima itabaki ikilaani na kulia lia

Myahudi hajawahi kuwa mjinga linapokuja suala la vita!
Hao sio Hamas au Gaza.
Houthi unaowazungumzia ni kundi ambalo limepigana vita 7 consecutive years non-stop.
Ukilala shaba na bomu ukiamka shaba na bomu,vita imeanza 2014 imekuja kuisha 2021.
Hiyo Israel vita ya miezi 9 imedhamiria ulemavu hadi sasa.
Yemeni wabishi NINYI tena asijiroge huyo Israel.
Hawashindwi kuvuka mipaka wakaenda Israel.
 
Wanaukumbi.

Msemaji wa Jeshi la Yemen "Houthis":

Tunatangaza eneo la Yafa "Tel Aviv" kama eneo lisilo salama na litakuwa lengo kuu ndani ya anuwai ya silaha zetu.

Shambulio la ndege zisizo na rubani lilitokea karibu na ubalozi mdogo wa Marekani mjini Tel Aviv, Israel, na kusababisha uharibifu mkubwa na majeruhi.

Ndege hiyo isiyo na rubani, inayoaminika kurushwa kutoka Bahari ya Mediterania, iligonga jengo lililo chini ya mita 100 kutoka kwa ubalozi huo.

Shambulio hilo lilisababisha kifo cha mtu mmoja na majeruhi kadhaa.


View: https://x.com/currentreport1/status/1814134362830684458?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://x.com/hoaxvstruths/status/1814219578098028765?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Mtu mmoja amefariki na wengine kadhaa kujeruhiwa.Miongoni mwao ni tajiri mkubwa mwenye asili ya kimarekani.
 
Pongezi za dhati ziende kwa Russia na Iran
Kwani Yahudi Hafahamiki?
Mchawi Hana Uwezo WA kukuloga mpaka apate sababu!
YAHUDI KAPATA SABABU YEMEN ITAGEUZWA KIFUSI KULIKO GAZA!
Namshanga houthis amevaa kata.K huku akijua mtaa mzima una mabasha hawamuachj😇😭😭😭😭
 
Back
Top Bottom