Yemeni Houthis yashambulia Tel Aviv

Yemeni Houthis yashambulia Tel Aviv

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
56,762
Reaction score
46,272
Wanaukumbi.

Msemaji wa Jeshi la Yemen "Houthis":

Tunatangaza eneo la Yafa "Tel Aviv" kama eneo lisilo salama na litakuwa lengo kuu ndani ya anuwai ya silaha zetu.

Shambulio la ndege zisizo na rubani lilitokea karibu na ubalozi mdogo wa Marekani mjini Tel Aviv, Israel, na kusababisha uharibifu mkubwa na majeruhi.

Ndege hiyo isiyo na rubani, inayoaminika kurushwa kutoka Bahari ya Mediterania, iligonga jengo lililo chini ya mita 100 kutoka kwa ubalozi huo.

Shambulio hilo lilisababisha kifo cha mtu mmoja na majeruhi kadhaa.


View: https://x.com/currentreport1/status/1814134362830684458?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://x.com/hoaxvstruths/status/1814219578098028765?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Wanaukumbi.

Msemaji wa Jeshi la Yemen "Houthis":

Tunatangaza eneo la Yafa "Tel Aviv" kama eneo lisilo salama na litakuwa lengo kuu ndani ya anuwai ya silaha zetu.

Shambulio la ndege zisizo na rubani lilitokea karibu na ubalozi mdogo wa Marekani mjini Tel Aviv, Israel, na kusababisha uharibifu mkubwa na majeruhi.

Ndege hiyo isiyo na rubani, inayoaminika kurushwa kutoka Bahari ya Mediterania, iligonga jengo lililo chini ya mita 100 kutoka kwa ubalozi huo.

Shambulio hilo lilisababisha kifo cha mtu mmoja na majeruhi kadhaa.


View: https://x.com/currentreport1/status/1814134362830684458?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://x.com/hoaxvstruths/status/1814219578098028765?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Kifo cha mtu mmoja 😀 😀
 
Ooh iran ana tafutwa ooh waarabu wana tafutwa..ime geuka kumbe israel ndo ana tafutwa aingie full na shoga zake..kila siku ana chapwa ila apeleki full mkoko ana ogopa nini
Nyie siyo bure inatakiwa mpelekwe Milembe hospitali ya vichaa, mnataka tena damu imwagike huko Yemen, kwa akili yako yako unaamini Iran+ Yemen+ Hezibolah + Hamas ndo wakupiga Israel +USA? Kwa silaha zipi? Yemen anakaribisha matatizo makubwa sana.
 
Nyie siyo bure inatakiwa mpelekwe Milembe hospitali ya vichaa, mnataka tena damu imwagike huko Yemen, kwa akili yako yako unaamini Iran+ Yemen+ Hezibolah + Hamas ndo wakupiga Israel +USA? Kwa silaha zipi? Yemen anakaribisha matatizo makubwa sana.
USA alitumia silaha nyingi na jeshi pia akiungana na Saudi Arabia kuurudisha utawala wa Mansour aliyefukuzwa na Houthi 2014 ila walishindwa.
Pia usisahau USA+FRANCE+IRAQ 1980-1988 walimchangia Iran ambayo ilikua haina jeshi kamili maana ndio kwanza ilitoka kufanya mapinduzi na Iran akashinda.
 
Wanaukumbi.

Msemaji wa Jeshi la Yemen "Houthis":

Tunatangaza eneo la Yafa "Tel Aviv" kama eneo lisilo salama na litakuwa lengo kuu ndani ya anuwai ya silaha zetu.

Shambulio la ndege zisizo na rubani lilitokea karibu na ubalozi mdogo wa Marekani mjini Tel Aviv, Israel, na kusababisha uharibifu mkubwa na majeruhi.

Ndege hiyo isiyo na rubani, inayoaminika kurushwa kutoka Bahari ya Mediterania, iligonga jengo lililo chini ya mita 100 kutoka kwa ubalozi huo.

Shambulio hilo lilisababisha kifo cha mtu mmoja na majeruhi kadhaa.


View: https://x.com/currentreport1/status/1814134362830684458?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://x.com/hoaxvstruths/status/1814219578098028765?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Pongezi za dhati ziende kwa Russia na Iran
 
Back
Top Bottom