Yawezekana vita ya Ufisadi ilikuwa ni ajenda ya Dr Slaa peke yake pale Chadema baada ya kuondoka mafisadi wanakumbatiwa na kutetewa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,957
141,948
Chadema ni chama kilichoaminika na kukubalika baada ya kujitanabaisha kama chama cha kutetea wanyonge na kulinda maslahi ya taifa ikiwemo kupiga vita ufisadi.

Katibu mkuu mstaafu wa chadema alisimama kidete kupigana vita hii akishirikiana na mwanaharakati wa rasilimali ya madini na mazingira Tundu Antipas Lisu.
Lakini tokea Dr Slaa aachane na Chadema na kustaafu siasa za majukwaani vita dhidi ya ufisadi pale Ufipa imekufa kabisa.

Kwa sasa si Tundu Antipas Lisu wala JJ Mnyika utakayemsikia akiwakemea mafisadi bali wao ndio wamegeuka kuwa watetezi wa mafisadi.

Najiuliza tu ile vita ya ufisadi ilikuwa ni ajenda binafsi ya Dr Slaa maana siku hizi kuzungumzia ufisadi pale Ufipa ni lazima uwe na moyo kama wa mwendawazimu hivi.

Ni hayo tu akina bwashee
Maendeleo hayana vyama!
 
Chadema ni chama kilichoaminika na kukubalika baada ya kujitanabaisha kama chama cha kutetea wanyonge na kulinda maslahi ya taifa ikiwemo kupiga vita ufisadi.

Katibu mkuu mstaafu wa chadema alisimama kidete kupigana vita hii akishirikiana na mwanaharakati wa rasilimali ya madini na mazingira Tundu Antipas Lisu.
Lakini tokea Dr Slaa aachane na Chadema na kustaafu siasa za majukwaani vita dhidi ya ufisadi pale Ufipa imekufa kabisa.

Kwa sasa si Tundu Antipas Lisu wala JJ Mnyika utakayemsikia akiwakemea mafisadi bali wao ndio wamegeuka kuwa watetezi wa mafisadi.

Najiuliza tu ile vita ya ufisadi ilikuwa ni ajenda binafsi ya Dr Slaa maana siku hizi kuzungumzia ufisadi pale Ufipa ni lazima uwe na moyo kama wa mwendawazimu hivi.

Ni hayo tu akina bwashee
Maendeleo hayana vyama!

Nonesense.
 
Chadema ni chama kilichoaminika na kukubalika baada ya kujitanabaisha kama chama cha kutetea wanyonge na kulinda maslahi ya taifa ikiwemo kupiga vita ufisadi.

Katibu mkuu mstaafu wa chadema alisimama kidete kupigana vita hii akishirikiana na mwanaharakati wa rasilimali ya madini na mazingira Tundu Antipas Lisu.
Lakini tokea Dr Slaa aachane na Chadema na kustaafu siasa za majukwaani vita dhidi ya ufisadi pale Ufipa imekufa kabisa.

Kwa sasa si Tundu Antipas Lisu wala JJ Mnyika utakayemsikia akiwakemea mafisadi bali wao ndio wamegeuka kuwa watetezi wa mafisadi.

Najiuliza tu ile vita ya ufisadi ilikuwa ni ajenda binafsi ya Dr Slaa maana siku hizi kuzungumzia ufisadi pale Ufipa ni lazima uwe na moyo kama wa mwendawazimu hivi.

Ni hayo tu akina bwashee
Maendeleo hayana vyama!
Correct!100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko CCM hamna ajenda ya ufisadi?1.5T iko wp?
Mwenyekiti wa PAC ambaye pia ni mbunge wa Same ( Chadema) mama Kaboyoka alishalijulisha bunge kwamba hakuna ufisadi wowote na bunge zima wakiwemo wapinzani liliripuka kwa shangwe na vigelegele!
 
Mleta nakuunga mkono Slaa kuondoka Chadema imekuwa mtetezi wa mafidlsadi Dr Slaa was a one man army who had ni support from chadema members and leaders.Asante Raisi Magufuli kumpa nafasi kwenye serikali .Wote walimgeuka mpinga Ufisadi Dr Slaa wote waliita Lowassa fisadi kumb wanaimba midomoni tu sio moyoni Ufisadi wanaupenda akiwemo mchungaji Msigwa baadaye Dr Slaa wakamgeuka very said
 
Mleta nakuunga mkono Slaa kuondoka Chadema imekuwa mtetezi wa mafidlsadi Dr Slaa was a one man army who had ni support from chadema members and leaders.Asante Raisi Magufuli kumpa nafasi kwenye serikali .Wote walimgeuka mpinga Ufisadi Dr Slaa wote waliita Lowassa fisadi kumb wanaimba midomoni tu sio moyoni Ufisadi wanaupenda akiwemo mchungaji Msigwa baadaye Dr Slaa wakamgeuka very said
Tena huyu Msigwa ni mchungaji lakini anakuwa Ndumilakuwili!
 
Kwa sasa si Tundu Antipas Lisu wala JJ Mnyika utakayemsikia akiwakemea mafisadi bali wao ndio wamegeuka kuwa watetezi wa mafisadi.

Najiuliza tu ile vita ya ufisadi ilikuwa ni ajenda binafsi ya Dr Slaa maana siku hizi kuzungumzia ufisadi pale Ufipa ni lazima uwe na moyo kama wa mwendawazimu hivi.
Kweli nimeanza kuamini kuwa Lumumba FC mmeshajifilia wenyewe. Huyo Slaa angekuwa kafungwa domo wewe ungelimsikia wapi?? Haya, kwa kuwa Chadema imewakumbatia mafisadi, Hiki ndio chama tawala?? Mnaogopa nini kuyachomoa huko Chadema hayo mafisadi mkayapeleka kwenye ile mahakama ya mafisadi mlio waumbia??
Nadhani leo utalala umeshiba kwani nimesikia wakisema kuwa; Wewe upewe mara mbili ya wengineo wote watakao changia humu JF.
 
Ninadhani mleta mada una tafsiri nyembamba ya ufisadi. Matendo ya kujichukulia pesa bila kupitishwa na bunge, kufanya matumizi ya pesa yasiyoweza kuhojiwa ni sehemu ya ufisadi. Ndio kusema hujasikia Chadema wakisemea hayo?? Mbona unajitoa akili hivo? Hujasikia sheria ya takwimu na kwamba sasa hivi ukitoa taarifa yoyote kuhusu nchi inapaswa kuwa taarifa hiyo imetolewa na serikali??? Huoni kubadilika kwa mazingira ya kisiasa kunazuia na kuogopesha kutoa taarifa za serikali?? Hata Dr Slaa asingeweza kusema aliyoyasema katika mazingira ya sasa.

Kuwa fair katika mtazamo. Huwezi kulinganisha embe na chungwa. Chungwa litalinganishwa na Chenza. Basi!!!
 
Chadema ni chama kilichoaminika na kukubalika baada ya kujitanabaisha kama chama cha kutetea wanyonge na kulinda maslahi ya taifa ikiwemo kupiga vita ufisadi.

Katibu mkuu mstaafu wa chadema alisimama kidete kupigana vita hii akishirikiana na mwanaharakati wa rasilimali ya madini na mazingira Tundu Antipas Lisu.
Lakini tokea Dr Slaa aachane na Chadema na kustaafu siasa za majukwaani vita dhidi ya ufisadi pale Ufipa imekufa kabisa.

Kwa sasa si Tundu Antipas Lisu wala JJ Mnyika utakayemsikia akiwakemea mafisadi bali wao ndio wamegeuka kuwa watetezi wa mafisadi.

Najiuliza tu ile vita ya ufisadi ilikuwa ni ajenda binafsi ya Dr Slaa maana siku hizi kuzungumzia ufisadi pale Ufipa ni lazima uwe na moyo kama wa mwendawazimu hivi.

Ni hayo tu akina bwashee
Maendeleo hayana vyama!
Fisadi mkubwa kwa sasa ni yule aliyekomba tln 2.4 kutoka hazina kibabe
 
Ninadhani mleta mada una tafsiri nyembamba ya ufisadi. Matendo ya kujichukulia pesa bila kupitishwa na bunge, kufanya matumizi ya pesa yasiyoweza kuhojiwa ni sehemu ya ufisadi. Ndio kusema hujasikia Chadema wakisemea hayo?? Mbona unajitoa akili hivo? Hujasikia sheria ya takwimu na kwamba sasa hivi ukitoa taarifa yoyote kuhusu nchi inapaswa kuwa taarifa hiyo imetolewa na serikali??? Huoni kubadilika kwa mazingira ya kisiasa kunazuia na kuogopesha kutoa taarifa za serikali?? Hata Dr Slaa asingeweza kusema aliyoyasema katika mazingira ya sasa.

Kuwa fair katika mtazamo. Huwezi kulinganisha embe na chungwa. Chungwa litalinganishwa na Chenza. Basi!!!
Kwani Zitto yuko Chadema?!
 
Kweli nimeanza kuamini kuwa Lumumba FC mmeshajifilia wenyewe. Huyo Slaa angekuwa kafungwa domo wewe ungelimsikia wapi?? Haya, kwa kuwa Chadema imewakumbatia mafisadi, Hiki ndio chama tawala?? Mnaogopa nini kuyachomoa huko Chadema hayo mafisadi mkayapeleka kwenye ile mahakama ya mafisadi mlio waumbia??
Nadhani leo utalala umeshiba kwani nimesikia wakisema kuwa; Wewe upewe mara mbili ya wengineo wote watakao changia humu JF.
Kamanda, sisi hatuishi kwa mkate tu!
 
Mafisadi wamejaa CCM; huwezi kufanya ufisadi ukiwa nje ya CCM kwamba huwezi fanya ufisadi nje ya system yaani nje ya Jiko, nje ya mpangilio.

Sasa mleta hoja ni rahisi tu waulize walifungua hiyi mahakama ya mafisadi kwa lengo gani hasa?
 
Chadema ni chama kilichoaminika na kukubalika baada ya kujitanabaisha kama chama cha kutetea wanyonge na kulinda maslahi ya taifa ikiwemo kupiga vita ufisadi.

Katibu mkuu mstaafu wa chadema alisimama kidete kupigana vita hii akishirikiana na mwanaharakati wa rasilimali ya madini na mazingira Tundu Antipas Lisu.
Lakini tokea Dr Slaa aachane na Chadema na kustaafu siasa za majukwaani vita dhidi ya ufisadi pale Ufipa imekufa kabisa.

Kwa sasa si Tundu Antipas Lisu wala JJ Mnyika utakayemsikia akiwakemea mafisadi bali wao ndio wamegeuka kuwa watetezi wa mafisadi.

Najiuliza tu ile vita ya ufisadi ilikuwa ni ajenda binafsi ya Dr Slaa maana siku hizi kuzungumzia ufisadi pale Ufipa ni lazima uwe na moyo kama wa mwendawazimu hivi.

Ni hayo tu akina bwashee
Maendeleo hayana vyama!
mbona m/kiti wenu alijenga mahakama ya mafisadi kwa ajili ya "fisadi" kutoka kaskazi lakini leo hii m/kiti huyo huyo ndiye anayemsifia huyo "fisadi" kila uchwao???
 
Back
Top Bottom