Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Habarai za alasiri mabibi na mabwana wa MMU,
Natumai mmeanza wiki salama na siku yenu imeenda poa. Leo niko hivi....................
Kuna watu shuhuli za kufanya wanazo ila kutwa kucha kufatilia ya wenzao hii ni kuanzia kitaa kazini hadi kanisani macho yanawatoka pimaa kamera mkononi kunakili matukio hata usingizi hawalali kazi kusinzia barabarani utasema mateja. Mazuri ya Kasie wakiyashuhudia roho zao zinawaumaaa haoooo roho zao mbayaaa mioyo yao kuniombea mabaya. Wanatafuta yangu mabaya ili wayaongee na wao ndo kufurahi kwani usifurahi na wako nyumbani ufurahishwe na mabaya ya Kasie? looh aibu zimewajaaa mie nina peta... kazi kusema ya watu ya kwao yanawashinda.
Hhahahahaaa Kasinde na TJ..........................
Wana talk talk wanasema sema na kuchonga chonga wanatema mbaya dawa ni kutokuongea nao, sicheki nao wala kuwapa hi, sili nao hata ikiwa chips dry na wasemee mie nakula good time, sitaki karaha nisije kusababisha wacha mie niinjoi full kula bata bin kupopo whaaaiii
Naishi vile nataka nachokipata nakijua mwenyewe napiga deal naingiza chapaa ya kunitosha kujirusha, ni pesa ni gari ni peace vyote vyangu kwa raha zangu sili cha mtu endelea kuumia rohoo weeeh hadi ukwatuke mie nakula good time as usual.
Kasie asema chunguza yako kwanza uone ku ndu lo si kukagua la mwenzio. Hii ni watu wa ofisini inawahusu sanaaaa, wa kanisani vile vile kuchunguza nimevaa nini jumapili hii, kwa nini jumapili iliyopita hukuja khaa wewe ndo paroko? mara umekuja kanisani bila biblia au kitabu cha nyimbo, mara leo umeingia kanisani umechelewa mara jumapili iliyopita uliwahi kutoka kbla ya misa kuisha heeeeeh kwani wewe kasisi? au parishwekaa..............!!!
Wa kitaa ndo usiseme utasikia Kasie jana ulichelewa kurudi home, week end iliyopita hukulala home kwako ulisafiri, safari ya kikazi au mishe mishe ....................babueeeh haihuuu nenda kampikie mumeo aiii kama unayatamani maisha yangu IGA UFEE uisikie vizuri hadithi ya kumuiga tembo kupuu................... utapasuka msamba.
Hujaelewa ujue si yako, umeyashiba maneno inakuhusu yafanyie kazi.
Haoooooooooooo macho kodooo na kubaki na alama za viulizo kichwani........???????
Kasie aka Ajuza aka Kigagula aka Alien.
Haaaooooooo yatawashinda
Natumai mmeanza wiki salama na siku yenu imeenda poa. Leo niko hivi....................
Kuna watu shuhuli za kufanya wanazo ila kutwa kucha kufatilia ya wenzao hii ni kuanzia kitaa kazini hadi kanisani macho yanawatoka pimaa kamera mkononi kunakili matukio hata usingizi hawalali kazi kusinzia barabarani utasema mateja. Mazuri ya Kasie wakiyashuhudia roho zao zinawaumaaa haoooo roho zao mbayaaa mioyo yao kuniombea mabaya. Wanatafuta yangu mabaya ili wayaongee na wao ndo kufurahi kwani usifurahi na wako nyumbani ufurahishwe na mabaya ya Kasie? looh aibu zimewajaaa mie nina peta... kazi kusema ya watu ya kwao yanawashinda.
Hhahahahaaa Kasinde na TJ..........................
Wana talk talk wanasema sema na kuchonga chonga wanatema mbaya dawa ni kutokuongea nao, sicheki nao wala kuwapa hi, sili nao hata ikiwa chips dry na wasemee mie nakula good time, sitaki karaha nisije kusababisha wacha mie niinjoi full kula bata bin kupopo whaaaiii
Naishi vile nataka nachokipata nakijua mwenyewe napiga deal naingiza chapaa ya kunitosha kujirusha, ni pesa ni gari ni peace vyote vyangu kwa raha zangu sili cha mtu endelea kuumia rohoo weeeh hadi ukwatuke mie nakula good time as usual.
Kasie asema chunguza yako kwanza uone ku ndu lo si kukagua la mwenzio. Hii ni watu wa ofisini inawahusu sanaaaa, wa kanisani vile vile kuchunguza nimevaa nini jumapili hii, kwa nini jumapili iliyopita hukuja khaa wewe ndo paroko? mara umekuja kanisani bila biblia au kitabu cha nyimbo, mara leo umeingia kanisani umechelewa mara jumapili iliyopita uliwahi kutoka kbla ya misa kuisha heeeeeh kwani wewe kasisi? au parishwekaa..............!!!
Wa kitaa ndo usiseme utasikia Kasie jana ulichelewa kurudi home, week end iliyopita hukulala home kwako ulisafiri, safari ya kikazi au mishe mishe ....................babueeeh haihuuu nenda kampikie mumeo aiii kama unayatamani maisha yangu IGA UFEE uisikie vizuri hadithi ya kumuiga tembo kupuu................... utapasuka msamba.
Hujaelewa ujue si yako, umeyashiba maneno inakuhusu yafanyie kazi.
Haoooooooooooo macho kodooo na kubaki na alama za viulizo kichwani........???????
Kasie aka Ajuza aka Kigagula aka Alien.
Haaaooooooo yatawashinda
