Hii kujua lugha ya mtu mwingine wakati ni mgeni inanichanganya saana. Jamaa alikijuaje kijapan nae ndio mara ya kwamza kufika japan na kipindi hiko elimu si kama sasa.
Wale wamisionari wakaja kwa mara ya kwanza afrika na bado wakaweza kuzungumza na wenyeji(kinyamwezi, kizulu, kihehe n.k)