Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,865
Nikiwaletea msg ya tar flan utazawadiwa zawadi....
Badae same day nakuta umepata gb 8 utumie ndan ya siku 30 nikangalia salio nkakuta na gb 1 yangu nilinunua asbh 1.4gb nikahisi labda uchunguzi unaenselea wamekosea kuntumia
Keshoyake kimya nkapiga mchana wakasema wanalifanyia kazi mpaka keshokutwa mpaka.leo wanalifanyia kazii
Mdahuu wamekuja tena na msg zoao za ajabu nimeomba wakome kuntumia hizi msg kabisa kabisa.
Ndugu Mteja, Utastahiki kupokea ofa ya kifaa tarehe 08/09/2025. Hakikisha Yas SIM kadi yako iko kwenye slot ulioweka wakati unanunua kifaa na kuweka salio la Tsh 2,000 au zaidi siku hiyo. Asante kwa kuchagua Yas!
NAWASHAURI SIE WATU WAZIMA MSITUANDIKIE MSG KAMA WATOTO
THX
CC
MENEJA MIX BY YAS
NA WASAIDIZI WAKE
Badae same day nakuta umepata gb 8 utumie ndan ya siku 30 nikangalia salio nkakuta na gb 1 yangu nilinunua asbh 1.4gb nikahisi labda uchunguzi unaenselea wamekosea kuntumia
Keshoyake kimya nkapiga mchana wakasema wanalifanyia kazi mpaka keshokutwa mpaka.leo wanalifanyia kazii
Mdahuu wamekuja tena na msg zoao za ajabu nimeomba wakome kuntumia hizi msg kabisa kabisa.
Ndugu Mteja, Utastahiki kupokea ofa ya kifaa tarehe 08/09/2025. Hakikisha Yas SIM kadi yako iko kwenye slot ulioweka wakati unanunua kifaa na kuweka salio la Tsh 2,000 au zaidi siku hiyo. Asante kwa kuchagua Yas!
NAWASHAURI SIE WATU WAZIMA MSITUANDIKIE MSG KAMA WATOTO
THX
CC
MENEJA MIX BY YAS
NA WASAIDIZI WAKE