ira lionel
Member
- Sep 27, 2016
- 27
- 15
(i) "Waambie hao wanasiasa wawajengee hizo nyumba zenu wenyewe.. "
(ii) "kwa hiyo kila mmoja katika upande wake abebe msalaba wake mwenyewe..,"
(iii) "jukumu la serikali ni kurejesha miundombinu ya serikali, siyo kujenga nyumba za wananchi"
(iv) "asitokee mtu kuwadanganya kwamba serikali itagawa chakula., hauwezi kugawa chakula ardhi ni ya kijani"
(v) "sasa mkuu wa wilaya nataka nikueleze hapa.., sitaleta chakula hapa, hakuna chakula cha serikali, serikali haina shamba "
(vi) " nimekuja kuwapa ujumbe huu, na mwenye kusikia asikie"
(ii) "kwa hiyo kila mmoja katika upande wake abebe msalaba wake mwenyewe..,"
(iii) "jukumu la serikali ni kurejesha miundombinu ya serikali, siyo kujenga nyumba za wananchi"
(iv) "asitokee mtu kuwadanganya kwamba serikali itagawa chakula., hauwezi kugawa chakula ardhi ni ya kijani"
(v) "sasa mkuu wa wilaya nataka nikueleze hapa.., sitaleta chakula hapa, hakuna chakula cha serikali, serikali haina shamba "
(vi) " nimekuja kuwapa ujumbe huu, na mwenye kusikia asikie"