Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Ndugu zangu,
Nimemsikia Kikwete akiwaambia mawaziri kwenye semina elekezi Dodoma kwamba uchaguzi unapoisha unaashiria mwanzo wa uchaguzi unaofuata. Hivi nchi hii itakuja iendelee lini jamani kama mawazo ya kiongozi wetu yanajielekeza kwenye uchaguzi tu?
Halafu kinachoninyima raha ni kwamba kwa CCM maandalizi ya uchaguzi maana yake ni pamoja na kupiga propaganda za kijinga kama anavyowaagiza wasaidizi wake kwamba, waende vijijini wakapeleke habari kuhusu mambo yanayofanywa na serikali yake, kana kwamba hawana macho.
Badala ya kujielekeza katika mipango ya kukuza uchumi aliyowaahidi wananchi ndani ya miaka mitano, yeye anaongelea uchaguzi. Kwa kweli kama ni cha mtema kuni, sasa watanzania tunakipata kweli kweli kwa kumchagua huyu mswahili.
Nimemsikia Kikwete akiwaambia mawaziri kwenye semina elekezi Dodoma kwamba uchaguzi unapoisha unaashiria mwanzo wa uchaguzi unaofuata. Hivi nchi hii itakuja iendelee lini jamani kama mawazo ya kiongozi wetu yanajielekeza kwenye uchaguzi tu?
Halafu kinachoninyima raha ni kwamba kwa CCM maandalizi ya uchaguzi maana yake ni pamoja na kupiga propaganda za kijinga kama anavyowaagiza wasaidizi wake kwamba, waende vijijini wakapeleke habari kuhusu mambo yanayofanywa na serikali yake, kana kwamba hawana macho.
Badala ya kujielekeza katika mipango ya kukuza uchumi aliyowaahidi wananchi ndani ya miaka mitano, yeye anaongelea uchaguzi. Kwa kweli kama ni cha mtema kuni, sasa watanzania tunakipata kweli kweli kwa kumchagua huyu mswahili.