Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,282
kizuri chajiuza kibaya chajitembeza. jamaa anawaambia mawaziri wake wakajitembeze....hakuna kizuri cha kuwapelekea wananchi. wanajua kizuri kiko wapi na kibaya kinajipitishapitishaje! fanya kazi blazaa achana na kutafuta sifa kwa kujipitishpitisha hazisaidii na wala hazikufikishi popote. cv yako ya mafanikio ndo itakayokulinda c vinginevyo