Yanga wana mawazo finyu
na lile ghorofa la mabasi yaendayo haraka,pale lilipojengwa si njia ya maji?
Wiki hii ni mbaya kwa watani zetu Yanga
Kukosa ubingwa
Uwanja kugeuza ziwa malawi baada ya kujaa maji
Kupigwa stop rasmi ya kujenga uwanja uitwao wa kisasa eneo hilo kwakuwa ni njia kuu ya maji
Niliwahi kusema pale hapafai kujenga uwanja lakini nikapata upinzani mkubwa kweli sasa yametimia
Poleni sana yanga tengenezeni swimming pool sasa
Wiki hii ni mbaya kwa watani zetu Yanga
Kukosa ubingwa
Uwanja kugeuza ziwa malawi baada ya kujaa maji
Kupigwa stop rasmi ya kujenga uwanja uitwao wa kisasa eneo hilo kwakuwa ni njia kuu ya maji
Niliwahi kusema pale hapafai kujenga uwanja lakini nikapata upinzani mkubwa kweli sasa yametimia
Poleni sana yanga tengenezeni swimming pool sasa
Yanga wana mawazo finyu
Hilo litakuwa dili la manji tu, kapata sababu ya kutotoa pesa zake, bora azam wamekuwa mabingwa hizi simba yanga hakuna mwenye afadhali
Wiki hii ni mbaya kwa watani zetu Yanga
Kukosa ubingwa
Uwanja kugeuza ziwa malawi baada ya kujaa maji
Kupigwa stop rasmi ya kujenga uwanja uitwao wa kisasa eneo hilo kwakuwa ni njia kuu ya maji
Niliwahi kusema pale hapafai kujenga uwanja lakini nikapata upinzani mkubwa kweli sasa yametimia
Poleni sana yanga tengenezeni swimming pool sasa
lile litakuwa na flood proof bila shaka...serikali yetu bana....