Tuseme amin.Ligi ya msimu 2025/26 itakuwa ngumu sana. Ila nina tumaini Yanga bado itachukua kombe la NBC na itafanya vizuri kimataifa.
Mungu Ibariki timu ya wananchi.
Tatizo wakina Kayombo,Smart na Malogo watatuharibia burudani.Ligi ya msimu 2025/26 itakuwa ngumu sana. Ila nina tumaini Yanga bado itachukua kombe la NBC na itafanya vizuri kimataifa.
Mungu Ibariki timu ya wananchi.
🤣🤣Dah! Mateso kwa wapinzani bado yako palepale.
Anakupenda sana Max.Hongera nyingi kwake.
Hakika Max Nzengeli ni mchezaji mzuri na anayejituma sana uwanjani. Ila msimu ujao wa ligi namshauri awe na maamuzi sahihi awapo eneo la mwisho la timu pinzani. Sehemu ya kufunga, afunge! Na sehemu ya kutoa assist, atoe.
InshaaalaahLigi ya msimu 2025/26 itakuwa ngumu sana. Ila nina tumaini Yanga bado itachukua kombe la NBC na itafanya vizuri kimataifa.
Mungu Ibariki timu ya wananchi.