Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 473
- 1,682
Tunashukuru jezi ni nzuri lakini nna uhakika tarehe 16 Septemba 2025 Yanga watatufunga tena, jana aliyoyaoengea Ali Kamwe mnaweza kuchukulia kirahisi rahisi na kumdharau vile, yule alikuwa anatoa code, aliposema safari hii wanatumia Nyundo alikuwa na tafsiri nyingi.
Yanga hawangaiki tena kucheza na Simba sasa hivi, never.Yaani ni hivi, ni kweli sisi tumesajili vizuri sana msimu huu, tunao wachezaji wazuri sana ambao wana uwezo wa kutupa hata ubingwa wa Afrika, lakini uwezo wa kuifunga Yanga haupo na hautakuwepo.Ubingwa wa hapa ndani hautakuwepo tena msimu huu.
Ninazo sababu nyingi sana, nyingine nimewahi kuzieleza lakini hadi leo hazijafanyiwa kazi na bado zipo.
Dalili ya mvua mawingu.Umoja ni nguvu na utengano ni dhaifu.
Yanga hawangaiki tena kucheza na Simba sasa hivi, never.Yaani ni hivi, ni kweli sisi tumesajili vizuri sana msimu huu, tunao wachezaji wazuri sana ambao wana uwezo wa kutupa hata ubingwa wa Afrika, lakini uwezo wa kuifunga Yanga haupo na hautakuwepo.Ubingwa wa hapa ndani hautakuwepo tena msimu huu.
Ninazo sababu nyingi sana, nyingine nimewahi kuzieleza lakini hadi leo hazijafanyiwa kazi na bado zipo.
Dalili ya mvua mawingu.Umoja ni nguvu na utengano ni dhaifu.