Ndio ita saidia...hiyo nyuzi mpya ndio itawasaidia kuwafunga waarabu na mazembe?!
Yanga imepata deal ya vifaa vya michezo kutoka kampuni ya MACRON ya nchini Italia. Klabu kubwa kama Napoli. Bolton wanders .Crystal palace. Stoke city n.k kwa timu za Africa ni Zamalek pekee. Hivyo wa matopeni route inabadilika badala ya kwenda antalya (Turkey) tunabadirisha gear angani next destination Bologna (Italy) Na kwa mara ya Kwanza nyuzi mpya itavaliwa Algeria. WA mbili havai moja
Wanavaaa Macron kwenye mazoezi na mavazi ya kusafiria.... Ila hawakuwa wametengeneza jezi kwa ajili ya mechi ..... Na Yale masweta na flana zilikuwa ni sampo Kwa mazoezi na safari za yanga..... Wakizipenda jezi mpya ambazo zitavaliwa kwa mara ya kwanza Algeria ndio wanaingia mkataba Wa jezi za mechi na jezi za mazoezi pamoja na nguo sa safari ..... Kumbuka man utd nguo za mazoezi nI AON na nguo za mechi ni CHEVROLET......Nilishawahi kuona mchezaji wa Yanga kavaa jezi kama sio sweta lina jina la MACRON upande wa kulia wa kifua. Hii inayokuja ni MACRON ipi?
Wanavaaa Macron kwenye mazoezi na mavazi ya kusafiria.... Ila hawakuwa wametengeneza jezi kwa ajili ya mechi ..... Na Yale masweta na flana zilikuwa ni sampo Kwa mazoezi na safari za yanga..... Wakizipenda jezi mpya ambazo zitavaliwa kwa mara ya kwanza Algeria ndio wanaingia mkataba Wa jezi za mechi na jezi za mazoezi pamoja na nguo sa safari ..... Kumbuka man utd nguo za mazoezi nI AON na nguo za mechi ni CHEVROLET......
Hassan Kessy kavaa flana , Nadir Haroub kavaa sweta/jacket za MACRON..... Kimtindo kama wameshaingia makubaliano ya awali....Nimekupata mkuu, kwa hali inavyoonekana hiyo deal tayari iko sealed on a number of factors.
1. Wameshavaa kwenye mazoezi na safarini.
2. MACRON ndio waliotengeneza jezi za Mtibwa Sukari ambazo wakati wa Mapinduzi Cup zilinunuliwa sana na kuelezwa ubora wake.
3. Portfolio yao ni kubwa, they had/have Zamalek on board.
Hahaaaaaa naona unarusha jiwe hewani upande wa matopeni kuwapima upepo,nimeipendaHuyu Manji anaboa sana! Anaacha kuendelea na mambo yake, mara oh! Soka soka! Soka na Mhindi wapi na wapi bhana kama co kutuletea magonjwa ya moyo tu huku mitaani?! Wana-Msimbazi hatulali-- hatunywi wala hatupakui eti kisa Manji... mambo gani haya! Mtu mwenyewe hata chandimu hujawahi kucheza... cfa tu! Kama unajua sana kuongoza club ya soka kwanini usiende kuongoza kwenu? Yaani bila aibu unatumia miakili miiiingi kuongoza club ya mpira?! Braza Aveva na Uncle Pope wote hawana raha kisa wewe! Kwanza nasikia pamoja na uraia feki wa Tanzania, pia una uraia wa Canada, UK, India na Mexico! Haikubailiki... Mheshimiwa Mwigulu Nchemba, hebu anzia kwa huyu mtu anaewafanya akina Braza Aveva waonekane hawafai!
Mi simo...Hahaaaaaa naona unarusha jiwe hewani upande wa matopeni kuwapima upepo,nimeipenda
acha uongo son na Chevrolet Ni sponsors watengeneza jezi Ni AdidasWanavaaa Macron kwenye mazoezi na mavazi ya kusafiria.... Ila hawakuwa wametengeneza jezi kwa ajili ya mechi ..... Na Yale masweta na flana zilikuwa ni sampo Kwa mazoezi na safari za yanga..... Wakizipenda jezi mpya ambazo zitavaliwa kwa mara ya kwanza Algeria ndio wanaingia mkataba Wa jezi za mechi na jezi za mazoezi pamoja na nguo sa safari ..... Kumbuka man utd nguo za mazoezi nI AON na nguo za mechi ni CHEVROLET......
acha uongo son na Chevrolet Ni sponsors watengeneza jezi Ni Adidas
Upuuzi!!!Hao AON na Chevrolet co watengeneza vifaa vya michezo hao ni kama kilimanjaro kwa Yanga na Simba au NMB kwa Azam ujue kutofautisha basiWanavaaa Macron kwenye mazoezi na mavazi ya kusafiria.... Ila hawakuwa wametengeneza jezi kwa ajili ya mechi ..... Na Yale masweta na flana zilikuwa ni sampo Kwa mazoezi na safari za yanga..... Wakizipenda jezi mpya ambazo zitavaliwa kwa mara ya kwanza Algeria ndio wanaingia mkataba Wa jezi za mechi na jezi za mazoezi pamoja na nguo sa safari ..... Kumbuka man utd nguo za mazoezi nI AON na nguo za mechi ni CHEVROLET......
Labda ulikuwa motto ndugu yangu ... Angalia jezi ya barcelona enzi za rivaldo na Rinaldo angalia jersey ya Cameroon ....hapo kuna nembo ya timu na nembo ya "mtengenezaji" ambaye wakati huohuo ni "mdhamini".... Wewe unaita sponsor...... Una swali LA ziada......acha uongo son na Chevrolet Ni sponsors watengeneza jezi Ni Adidas
Kumbe na were ni kilaza.... Embu nionyeshe wadhamini Wa barcelona na Cameroon hapo.... Zaidi ya watengeneza jezi...... Elimu elimu elimu...... Jaribu kutofautisha "mdhamini" na "mtengeneza jezi"......Upuuzi!!!Hao AON na Chevrolet co watengeneza vifaa vya michezo hao ni kama kilimanjaro kwa Yanga na Simba au NMB kwa Azam ujue kutofautisha basi
Kweli sisi wa matombeni,majirani wanapanda ndege kila sikuHassan Kessy kavaa flana , Nadir Haroub kavaa sweta/jacket za MACRON..... Kimtindo kama wameshaingia makubaliano ya awali....
Mkuu unachanganya kati ya 'Shirt Sponsor' na 'Kit Manufacturer' Jaribu kutofautisha tafadhali.Wanavaaa Macron kwenye mazoezi na mavazi ya kusafiria.... Ila hawakuwa wametengeneza jezi kwa ajili ya mechi ..... Na Yale masweta na flana zilikuwa ni sampo Kwa mazoezi na safari za yanga..... Wakizipenda jezi mpya ambazo zitavaliwa kwa mara ya kwanza Algeria ndio wanaingia mkataba Wa jezi za mechi na jezi za mazoezi pamoja na nguo sa safari ..... Kumbuka man utd nguo za mazoezi nI AON na nguo za mechi ni CHEVROLET......